Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do you think JPM sent him to do those criminal things???
Hii habari nzuri sana kwa mbowe
kuendesha genge la uhalifu kazi ya genge kupora na kubakaLA ubakaji mbona sijaliona
Yuko gereza gani nifanye uhalifu nipelekwe huko jamani, maana nimempenda siku nyingi na hii ni fursa!Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
Kwa katiba tuliyonayo vyombo vya ulinzi haviko huru kama S A au Kenya hivyo si rahisi Ku muarrest kiongozi aliyeko madarakani atenguliwe.Wanaodai katiba mpya sio kwamba hawana akili.Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Hui ni ujinga kafara lipi wakati kafanya ujambazi wa hali ya juuMkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yuko gereza gani nifanye uhalifu nipelekwe huko jamani, maana nimempenda siku nyingi na hii ni fursa!
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Ole ngai Sabaya leo tar. 04.05 2021 amefikishwa mahakani akiwa na wenzake watano.
Sabaya peke yake amesomewa mashitaka sita likiwemo la Uhujumu uchumi na utakatishaji fedha pamoja na unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Kesi imeahirishwa mpaka June 18 2021 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande kwani makosa hayo hayana dhamana.
Chanzo cha habari: Azam
View attachment 1808137
Naye analiwa timing tu,kesi huwa hazifi akae chonjo kama sio leo hata keshoMAKONDA ashukuru alijitoa mapema
Unataka kusema we ni shoga?Yuko gereza gani nifanye uhalifu nipelekwe huko jamani, maana nimempenda siku nyingi na hii ni fursa!
lipo kwenye genge la uhalifuLa ubakaji kwanini halikuwekwa ? Nafikiria kukata rufaa