Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Implicitly yes, hatukuwahi kusikia akikemewa pamoja na tuhuma zake kutolewa hadharani tena mbele ya Waziri mkuu. Kama hata uchunguzi tu haikufanyika kwa nn tusiamini kwamba alitumwa na yote aliyotenda yalikuwa na baraka za mteuzi wake?
Do you think JPM sent him to do those criminal things???
 
Kama na wengine waliotenda kama yeye enzi zile watafikiwa sawa.Ila kama ni Sabaya tu,hapana.Hainiingii kichwani.Itakuwa tunachezwa machezo ya kisiasa tu.amna jipya.
 
Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.

Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.

Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!

Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Kwa katiba tuliyonayo vyombo vya ulinzi haviko huru kama S A au Kenya hivyo si rahisi Ku muarrest kiongozi aliyeko madarakani atenguliwe.Wanaodai katiba mpya sio kwamba hawana akili.
 
Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.

Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.

Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!

Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Hui ni ujinga kafara lipi wakati kafanya ujambazi wa hali ya juu
 
Sisi watu wa science tuna itukuza ile third law of motion
Action and reaction are equal in opposite direction..

Limemrudia mwenyewe
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Ole ngai Sabaya leo tar. 04.05 2021 amefikishwa mahakani akiwa na wenzake watano.

Sabaya peke yake amesomewa mashitaka sita likiwemo la Uhujumu uchumi na utakatishaji fedha pamoja na unyang'anyi kwa kutumia silaha.

Kesi imeahirishwa mpaka June 18 2021 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande kwani makosa hayo hayana dhamana.

Chanzo cha habari: Azam
View attachment 1808137
 
Please try to use your brains before writing. Sabaya ameshtakiwa Arusha kwa makosa yaliyofanyika Arusha . Sasa wapinzani wanahusika vipi hapa.
 
Back
Top Bottom