me pia nime waza hivyo ila Arusha wapo wengi hko Kisongo muda huu wana mshughulikia alilo fanya ndilo atakalo fanyiwa!Yuko gereza gani nifanye uhalifu nipelekwe huko jamani, maana nimempenda siku nyingi na hii ni fursa!
Ingekua ni Mpinzani hapa, kelele zingepigwa kwamba kabambikiwa kesi ya uhujumu uchumi. Ila huyu anaonekana kwamba kashtakiwa kihalali.Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
View attachment 1808139
View attachment 1808140
View attachment 1808141
=======
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.
Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.
Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.
Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.
Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.
Yaani jamaa aliwachukia wachaga angewezaJPM kwa kuyajua yote hayo, akaamua kuwakomesha wachaga kwa kuwapelekea jambazi!!!!!! kweli jamaa aliwachukia sana.
Angewauwa wote ila Mungu Fundi nitamsifu Mungu kila saaJPM kwa kuyajua yote hayo, akaamua kuwakomesha wachaga kwa kuwapelekea jambazi!!!!!! kweli jamaa aliwachukia sana.
Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
View attachment 1808139
View attachment 1808140
View attachment 1808141
=======
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.
Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.
Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.
Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.
Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.
Loh, hana dhamana...unyanganyi wa kutumia silaha!
Balaa zito,kuna la kujifunza kubwa sana hapa.
Acha akawekwe wanapokaa majambazi wenzie
Duh utani utani tu unashangaa jezi ina namba ya kuingia tu... Ya kutoka hamna!
Ngoja Avune alichopanda, aliyekuwa anamtuma na kumkingia kifua kila mtu Anaijua kazi ya Mungu Haina makosa
MKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
Jambazi huyo alikua anatumia kodi zetu kukaba wacha aende...
Kweli jehanamu ni hapa hapa duniani
Aliye kuwa mkuu wa wilaya !!!MKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
Makosa mengine yanaweza kumfuata huko huko aliko. Mwendesha mashtaka hawezi kupeleka kesi bila ku establish ushahidi, na ujue ushahidi wa kubaka ni changamoto!Yaani mitandao ni hatari sana. Hasa hii ambayo tunatumia majina bandia, mambo mengi ni fake na ya kufikirika...ogopa sana. Usishangae jamaa akatoka akiwa ameoshwa safi.
Hapa mama alicheza kama pelle.Huyu mtu hachomoki hakika...
Kwamba mpaka tarehe 18/6 wiki mbili zijazo atakuwa anaishi gerezani akinyea ndoo kama Mbowe jamaa yake alivyoishi kwa sababu hila tu za "Sukuma Gang" chini ya Mwendazake...??
Duuh, hebu ngoja tuone kama cheo chake cha U - DC na hizo pesa za wizi alizojilimbikizia kama zitakuja kumwokoa atoke gerezani...!!
Alinyanyasa na kuwadhalilisha watumishi wa umma hadharani. Sasa yuko mikononi wa watumishi haohao...
Bahati mbaya kwake, DPP si yule wa Sukuma Gang - Biswalo Mganga...
Mama Samia Mjanja sana. Alimtoa kwanza huyo kisha sukuma gang taratibu mmoja baada ya mwingine anashughulikiwa....!!
Tunasubiri Mo aseme ni nani waliomteka. Hapo hachomoki.MAKONDA ashukuru alijitoa mapema
Absolutely Sirshida ya Mwendazake alipenda kuwatesa wale waliokuwa na mtizamo tofauti na yeye na alitesa kwa kutumia hao aliowapa vyeo sasa wengine walijiongeza wakajua kuna kesho, wengine walijisahau wakatumia ubaya wa magu kujipatia vinono kwa kujipendekeza kwake kwa kuwatesa wabaya wake wakajua magu ni ka Mungu haondoki leo wala kesho na hata akiondoka wao wana kinga sasa Mungu alipofanya yake leo ndo wanaumbuka. Ni vizuri sana next time ccm wakaleta rais ambaye anavumilia kukosolewa kupingwa na mwenye utu pia maana kiongozi inabidi awe na ngozi ngumu. Kama wapo wanaompinga Munga na bado Mungu anawapa uhai na mali sembuse binadamu ndo atese, aue wakosoaji wake hapana ni machukizo mbele za Mungu.
Huyu hakucheza kwa weledi, yale mahojiano aliyoyafanya pale mawinguni yana mchango mkubwa katika haya anayopitia.Kama mwendo ni huu ,ingependeza moto uwafikie wote na siyo kufanya kwa wachache
Kwakuwa kituo ninachofuata ni kwako ama kwa sababu gani.Duh!
nakosa hata cha kusema.
Pumzi imekata.