Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

Haya halafu mseme Magufuri alikuwa mzalendo,tuliibiwa sana kipindi cha Magufuri,Tulidhulumiwa sana kipindi chake na kunyanyaswa sana utafikiri Tanzania siyo nchi yetu kwa kukumbatia vibaka kama Ole Sabaya na Makonda.
... jambazi lililokuwa limepewa cheo na kulindwa kwa kila hali na mamlaka ya uteuzi! Shame on them all!
Wapumbav tu ndio wanasema jiwe alikuwa mtu
 
Mwigulu Nchemba na Kinana wana semaje?
Maana ndio walimpigia kifua kwa mwenda zake hadi akaupata uDc wa ujambazi na kufutiwa kesi ya kugushi kitambulisho cha Tiss?
Ati ni hongera kwa kazi maalum aliyo fanya kuisambaratisha CHADEMA. Mungu ni Mwema sana.
Aibu kwao.
 
Bojana wazuri, wenye maadili na busara wapo lakini bahati mbaya marehemu alipendelea zaidi kuwateua waovu kama yeye kuliko kuwateua watu wema.

"Wewe nimekuteua kwa sababu ni kichaa kama mimi" - Hayati Magufuli.
 
Dogo mimi ni mtu mwenye msimamo. Unaposema mimi bingwa wa kusifia madhalilu unakosea
Ukiambiwa uthibishe kwa ushahidi kihusu dhalimu utaweza?

Kama Sabaya ana makosa nini kulemba? Kwa nini msianze kusikiliza kesi?
Hebu tulia ww.
 
Sisi watu wa science tuna itukuza ile third law of motion
Action and reaction are equal in opposite direction..

Limemrudia mwenyewe
Na sisi watu wa paranormal tunasema "what goes around comes around"
 
Duuh kwa makosa hayo sabaya hachomoki aisee. Kikubwa aombe Mungu adhabu ipunguzwe kutoka kunyongwa hadi kufa mpaka kifungo cha maisha.

Amna kitu huwa nagwaya kama makosa ya ivo ukishtakiwa na jamhuri aisee kuchomoka huwa ni ngumu labda mkulu atie neno. Hapo bado yale ya kubaka na zaidi kina mama 40 ni mashahidi daah uyu jamaa sijui...
 
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.

June 18 mbona karibu sana? Huyu ni Jambazi hakuna plea-bargain na DPP.....Makosa ya kuendesha genge la uhalifu,ujambazi,ubakaji hauwezi kukaa mezani na DPP,

Bado Bashite.
 
Karma is a bitch let it f. U. C. K him
 
JPM kwa kuyajua yote hayo, akaamua kuwakomesha wachaga kwa kuwapelekea jambazi!!!!!! kweli jamaa aliwachukia sana.
Naam, Sabaya alipata uteuzi akiwa na kesi ya jinai mahakamani! Hivyo aliteuliwa kwenda kufanya kazi maalum chafu ambayo ni mtu wa aina yake pekee anaweza kufanya. Tuhuma za unyang'anyi zilitolewa hadharani mbele ya camera lakini Sabaya hakuguswa!
 
Karibia yote 6 ni mazito
Mkuu sio karibia ni yote ni mazito aisee. Rushwa, utakatishaji fedha, kuongoza genge la uharifu, duuh kuna makosa mengine ukisingiziwa tu kuchomoka ni kwa mbinde sasa huyu ndgu kafanya kabisaa 😂😂
 
Akae ndani miaka 6 hadi ushahidi kukamilika kama walivyowatendea wenzao
 
Thanks serikali ,Takukuru, na washirika wote katika zoezi zima, KWA kulikamata jambazi sugu,
Sasa MACKONDA NA WENGINE WAFYATULIWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…