Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo

Anaondoka kwasababu zipi hasa?
 
Sebaya atakuja kuolewa Siku moja anajifanya kauzu wakati ni mrembo tuuu tunamzoom
 
Huyu anaweza kubakia... Japo asilimia ni chache sana kwenye hilo..

Maisha hayana formula
 
Duh! Kuna clip RC anaongea na kumuonya akavua tinted na kubinua mabega, ilikuwa dharau kubwa sana.
 
Duh! Kuna clip RC anaongea na kumuonya akavua tinted na kubinua mabega, ilikuwa dharau kubwa sana.
Nimeiona aiseee ni dharau kubwa sana aliyoonyesha kwa Mama Anna RC KLM....Sabaya hafai kuwa kiongozi akaendelee na utapeli wake wa uANDAKAVA IGO SIRII UPELEZI WA NDANI.

 
Itabidi Baraza la Kiswahili libadilishe hii methali........kuwa
Dua la Kuku litampata Mwewe...... 🤣 😂
 
Hawezi baki hai hata achinje Ngamia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani siyo tu kama atabaki Hai.... Kama akiendelea kuwa Mkuu wa Wilaya yoyote ile, basi huyo mganga wake ni deal.
 
Living legend
 

Kweli kabisa. One down two to go!
 
Tayari kichwa kimeliwa, huwezi kuonesha dharau kwa mkuu wako wa Mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…