Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

Umesahau watu 13,000 waliuawa huko Zanzibar bila hatia wakati wa mapinduzi kama ulivyosema?
 
Sunday skuli zinawadanganya sana aseew
Ndio maana mnaambiwa muowane huko sunday skuli sababu washajua kama kondoo zao hazina akili
 
Na ubaya zaidi hata mutuchukie kwakiwango gani
Ukweli nikwamba hakuna mwenye ubavu wa kuufanya uislamu usizidi kunawiri duniani hakuna
 
Ushindi wa mwarabu ni kushangilia vifo vya wayahudi 1200 na mateka wa kiyahudi 250 kisasi kikiwarudia wanauawa waarabu na wapalesitina zaidi ya elfu 30 na bado wanahesabu kuwa wamefanikiwa.
Shida ya watoto wa sunday skuli hamujui kwamba ushindi wa vita haupimwi kwa wingi wa vifo
Sunday skuli mnaenda kupoteza muda tuuuu
 
Upo nchi gani🤔
Kama upo Tanzania ntapeleka ombi ama wazo hapo Tanzania kwetu hizo Sunday skuli zifungwe
Ndio ujinga munaomezeshwa huu kumbe asee dah!!!
 
Umesahau watu 13,000 waliuawa huko Zanzibar bila hatia wakati wa mapinduzi kama ulivyosema?
Umedai huwa natetea ccm hapa,nikasema sitetei yeyote Bali haki,kuuawa watu 13k mapinduzi Zanzibar kunahusiana vipi na kutetea CCM!?
 
Sunday skuli zinawadanganya sana aseew
Ndio maana mnaambiwa muowane huko sunday skuli sababu washajua kama kondoo zao hazina akili
Umeacha kusikia chief

Masikio yako hayasikii vizuri tena, hiyo ilikuwa ni sauti ya mwalimu wa madrasa alipotaka kumlawiti mwajuma
 
Ndivyo mlidanganyana!?
Hiyo six days war ilihusisha Syria na Egypt.
Ila mkalishwa Matango pori.
Pia usisahau kuna kundi linaitwa HIZBOLLAH pale Lebanon lishampiga sana Israel na hadi sasa linamchapa hapo kaskazini.
Israel Hizbollah peke yake inamtosha.
Nchi inaweza kumuangamiza kama kundi dogo tu la Hamas limempa tabu mpaka sasa.
 
Israel pale ishajifia tayari.
Kinachomuokoa Israel ni USA na UK na baadhi ya nchi za kiarabu kumuunga mkono.
 
Wewe na Ritz akili zenu mnazijua wenyewe.
 
Sasa huyo shehe atasaidia nini Gamar Nasser aliwaunganisha waarabu wote akaifute israel akafutika mwenyewe
 
Mcha Mungu huyo, tena ni mswahili mwenzetu.

Sema serikali ya kinafik haitomsikiliza.
Serikali yenye akili hawezi kusikiliza kiongozi wa kidini
Mwenye Akili za ajabu kuingiza nchi vitani kwa chuki zake za kipambavu
Uislamu si wanasema ni Dini ya amani kwanini anataka kuuchafua uislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…