Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Nchi kama Somali wanasafirisha Mbuzi na Kondoo huko Oman,Australia wanasafirisha Kondoo huko Oman,

Naona badala ya kuchangamkia fursa mmekimbili sijui Twiga mara Tembo!

Bila kubadili hizi fixed mind mentality mtu atajikuta yupo pale pale tu miaka na miaka.
Watu wanafikiria sijui kupigwa
Wakati sahv wanatakiwa wakamate fursa wapeleke wanyama huko mbuzi, kondoo, ngombe etc

Ova
 
Kwenye kerne ya 14 na 16 hawa Oman walisafirisha wanadamu kama watumwa. Leo raisi wa Tanzania anaenda kuwasaidia kusafirisha wanyama
 
yaani apo watakao safirishwa(kuibiwa) ni wild animals kama twiga, faru, tembo, simba & Nyati etc. na wala si domestic animals kitimoto, mbuzi au ng'ombe

UWT sijui wanakwama wapi, yaani wamelala usingizi wa pono wakati mama anaelekea kuihujumu nchi ya Tanganyika tena live kabisaa,
Sukuma gang kazini
 
Hilo la wanyama pori umelitoa wapi?

Hizo chuki zenu huwa zinawasaidia kulamba asali?

Hilo la Wanyamapori hai umelitoa wapi?

Kwa Samia mtahangaika Sana aisee
Wachangamkie sasa fursa wapeleke mbuzi, ngombe, kondoo, asali nk
Haya mambo sijui tunapigwa blhblh

Hauendi popote zaidi ya kila siku kulialia tu

Waamke wakamatie fursa hiyo

Ova
 
Wanyama hai sawa..ila tutapigwa sana...mana watachukua faida yote kutoka kwenye kwato..pembe..ngozi na offals.

Sikubaliani nalo hili.

Wauziwe meat and meat products sio myama hai.

Haya mambo JPM aliyakataa ya kuuza malighafi...hatuwezi kuza viwanda vya ndani na raia wetu watakosa kazi na ajira.

#MaendeleoHayanaChama
Miaka nenda rudi wakomoro wananuaga wanyama waliyokufa

Au

Ova
 
Wachangamkie sasa fursa wapeleke mbuzi,ngombe,kondoo,asali nk
Haya mambo sjui tunapigwa blhblh
Hauendi popote zaidi ya kila siku kulialia tu
Waamke wakamatie fursa hiyo

Ova
Madhara ya ujamaa,ndio maana namlaumugi Sana Baba wa Taifa maana alijenga jamii ya watu walalamishi,Wenye kulaumu na kukosoa kila kitu huku akili zao zikiwa tegemezi kwa Serikali.
 
#Ukiona unasifiwa sana na wazungu ujue nimeshaiuza nchi" aliemaga hili SAMORA
 
Mama anazingua sana Sasa hivi.

Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.


Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.

Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.

Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.
Kila kitu nyie sukuma gang ni kulalamika. Hamia Burundi
 
Wanyama hai sawa..ila tutapigwa sana...mana watachukua faida yote kutoka kwenye kwato..pembe..ngozi na offals.

Sikubaliani nalo hili.

Wauziwe meat and meat products sio myama hai.

Haya mambo JPM aliyakataa ya kuuza malighafi...hatuwezi kuza viwanda vya ndani na raia wetu watakosa kazi na ajira.

#MaendeleoHayanaChama
Hapa wanaua viwanda vya ndani.

Sijui nani anatoa mawazo mabovu ya kuliangamiza Taifa kwa Rais.

Na Rais naye sidhani kama anapata muda wa kuwa na second thought.
 
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.
That's is good. Kuna watu watakuwa wanafikiria twiga wetu tu!!

Ila nimemsikiliza Rais wa Tanzania Chamber of Commerce kaioongea halafu nikamsikiliza wa Omani. Kwa kweli wa Tanzania hakuwa amejiandaa. Anazungumzia kwa kumention tu kuwa inatakiwa tuwe na Trust, confidence and transparent between us and investors .... yaani politics tu. Hakujaribu hata kumarket potential na opportunities ambazo zinatawaatract investors. Inawezekana kukawa na closed door discussion watazungumzia hayo. Nasema hivyo kwa vile his counterpart from the Ministry of Trade kamwaga madini na kaauza nchi yake utafikiri ni wao ndiyo wanaotafuta hizo opportunities na wawekezaji zaid yetu. Kapresent mpaka PP ..... amezungumzia why you should invest in Oman, opportunities and incentives as well as the geographical location.
 
Back
Top Bottom