Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yaani haki ni hisani kwa watanzania na siyo sharti la kikatiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mazingira haya ni wendawazimu kuendelea kushiriki chaguzi za nchi hii. Inatakiwa wananchi wengi wapuuze kupiga kura, hapo tutakuwa na nguvu ya kudai chaguzi za haki. Kinyume na hapo kuendelea kushiriki chaguzi hizi ni kuzipa uhalali usiostahili.Shida nchi imetekwa nyara na CCM wakisaidiwa na JWTZ, Polisi na TISS. As long as hao watu wanaona CCM haina shida hakuna mabadiliko yoyote.
Yaani haki ni hisani kwa watanzania na siyo sharti la kikatiba
Katika mazingira haya ni wendawazimu kuendelea kushiriki chaguzi za nchi hii. Inatakiwa wananchi wengi wapuuze kupiga kura, hapo tutakuwa na nguvu ya kudai chaguzi za haki. Kinyume na hapo kuendelea kushiriki chaguzi hizi ni kuzipa uhalali usiostahili.
Japo haki sio hisani, ni stahiki, lakini kwa mfumo wetu, haki ni hisani, Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha hakiHaki inaombwa kwa Rais Samia! Haki inaombwaga?
Mpaka tuamkeUpumbavu mtupu
Kwa Tanzania, haki ni hisani!, na it's very unfortunately hatuna upinzani wowote wa maana wa kudai haki au kuipigania. Angalia hapa nilichosemaYaani haki ni hisani kwa watanzania na siyo sharti la kikatiba
HBD Rais Samia!.Wanabodi,
Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,
Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.
Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!
HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.
Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.
Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.
If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.
Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.
Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.
Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali