Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
walianza na kuuza card za chama, zimebuma, wanatafuta namna nyingine kuwaingiza mkenge raia. siku wakija kufumbuka macho watashangaa sana.Wachagga mnakiharibu hiki chama jamani, waachieni wasukuma au kanda zingine tofauti na kaskazini, wakiendeshe naamini chama kitafika mbali nje ya wachagga.
Wakikiachia basi ujue hakina ruzuku wala pesa za msaada tenaWachagga mnakiharibu hiki chama jamani, waachieni wasukuma au kanda zingine tofauti na kaskazini, wakiendeshe naamini chama kitafika mbali nje ya wachagga.
Kwani si watumie zile hela za hukumu walizorudishiwa na mahakama
Maana wananchi waliwachangia kipindi kile kuepuka kifungo lakn waliporudishiwa wamekuwa wakali ukiwahoji
Unaweza kuwa na point but inakosa uzito machoni pa watu kwa vile wewe ni passionate hater wa Chadema.Nimeona twiti ya Mheshimiwa Lema akihamasisha Watanzania wamchangie yeye na Lissu ili wamudu gharama za kuzunguka kila kona ya dunia kueleza kuhusu yanayojiri Tanzania re: Mheshimiwa Mbowe.
View attachment 1872706
Naelewa kuwa "gharama za kuzunguka dunia" ni kubwa, hasa kipindi hiki ambacho usafiri wa kimataifa umeathiriwa na janga la COVID. Hata hivyo, ombi hilo la michango (ambalo nafahamu linawahusu "linalowahusu") linaweza kujenga tafsiri hasi kuwa watu "wanalianzisha" ili itembezwe bakuli ya michango.
Nonetheless, Watanzania ni wakarimu na huenda wakajitokeza kwa wingi kuchangia safari hizo za Lema na Lissu
Nimeona twiti ya Mheshimiwa Lema akihamasisha Watanzania wamchangie yeye na Lissu ili wamudu gharama za kuzunguka kila kona ya dunia kueleza kuhusu yanayojiri Tanzania re: Mheshimiwa Mbowe.
View attachment 1872706
Naelewa kuwa "gharama za kuzunguka dunia" ni kubwa, hasa kipindi hiki ambacho usafiri wa kimataifa umeathiriwa na janga la COVID. Hata hivyo, ombi hilo la michango (ambalo nafahamu linawahusu "linalowahusu") linaweza kujenga tafsiri hasi kuwa watu "wanalianzisha" ili itembezwe bakuli ya michango.
Nonetheless, Watanzania ni wakarimu na huenda wakajitokeza kwa wingi kuchangia safari hizo za Lema na Lissu
Yes, asante hili ni CCM, huwa aniandika vibaya CDM. Ngoja niweke article yake uisomeUnaweza kuwa na point but inakosa uzito machoni pa watu kwa vile wewe ni passionate hater wa Chadema.
Ukizingatia Chadema ndicho chama pekee ambacho kinategemewa sana katika "mapambano" ya kuung'oa utawala wa kijeshi wa CCM, it simply implies wewe ni CCM (through and through) no matter what you would want people to believe.
Sasa wewe yakuhusu nini, alafu eti kijana, una matatizo sehemAmna tatizo kijana wajinga ndio waliwao. Kama shule imeshindwa kukutoa ujinga basi wanasiasa watatumia fursa hiyo kujineemesha kutokana na ujinga wako.
Una maana gani, mbona hueleweki na haya uliyoandika hapa.Naelewa kuwa "gharama za kuzunguka dunia" ni kubwa, hasa kipindi hiki ambacho usafiri wa kimataifa umeathiriwa na janga la COVID. Hata hivyo, ombi hilo la michango (ambalo nafahamu linawahusu "linalowahusu") linaweza kujenga tafsiri hasi kuwa watu "wanalianzisha" ili itembezwe bakuli ya michango.
Mradi wa kadi umebuma vibaya, jumuiya ya kimataifa nayo imeshajua janja yao, hii mambo yao ya kumwita Samia dikteta inawaharibia zaidi ya kuwajenga.walianza na kuuza card za chama, zimebuma, wanatafuta namna nyingine kuwaingiza mkenge raia. siku wakija kufumbuka macho watashangaa sana.
Una takwimu za wanachama na wafuasi wa Chadema na CCM na composition ya wanachama wao kikabila?Ndugu yangu ccm siipendi na hili la katiba kutoipitisha ndio nimetoka kuichukia haswaaa, lakini chadema chini ya viongozi wa kichagga hakitaendelea. Heri wangekiendesha wasukuma au makabila mengine ambao wanaishi na kuelewana na jamii yoyote, kakini sio mchagga. Ushaona wachagga wakiungana ama wakishirikiana kwa pamoja na wasukuma/makabila mengine katika sekta mbalimbali biashara n.k kama sio wao kwa wao? Labda wakuhesabu.
Kwanz wakishachangiwa hawatosema hadharan kiasi kilichochangwa, afu baadae watadai kwamba walinyimwa visa za kuingia katika hizo nchi walizotaka kwenda, kwahiyo hela zitatumika kwa mahitaji mengine ya chama. Baada ya hapo hautosikia tena maelezo ya hizo hela za michango.... Trust my wordsWajinga ndo waliwao. Kwani lazima kuzunguka ?Hii dunia ipo connected via internet. Si aongee tu. Kila nchi kuna ubalozi wa nchi kibao. Vyombo vya habari kibao. Anataka kuwaibia wajinga hivi hivi.
Achana nae huyo... kuna wale chadema original wanaotaka kufanyike kwanza marekebisho kweye katiba yao ili kila mwenyekiti akae madarakan kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa mwanzo. Cha kushangaza hakuna mtu anaejisikia huru kutolea ufafanuzi hoja ile ya chadema original kwa kuogopa kupotezwa kama alivyopotea Ben saa8.Una takwimu za wanachama na wafuasi wa Chadema na CCM na composition ya wanachama wao kikabila?
Naombeni nifundishwe namna ya kulipa hio helaaNimeona twiti ya Mheshimiwa Lema akihamasisha Watanzania wamchangie yeye na Lissu ili wamudu gharama za kuzunguka kila kona ya dunia kueleza kuhusu yanayojiri Tanzania re: Mheshimiwa Mbowe.
View attachment 1872706
Naelewa kuwa "gharama za kuzunguka dunia" ni kubwa, hasa kipindi hiki ambacho usafiri wa kimataifa umeathiriwa na janga la COVID. Hata hivyo, ombi hilo la michango (ambalo nafahamu linawahusu "linalowahusu") linaweza kujenga tafsiri hasi kuwa watu "wanalianzisha" ili itembezwe bakuli ya michango.
Nonetheless, Watanzania ni wakarimu na huenda wakajitokeza kwa wingi kuchangia safari hizo za Lema na Lissu
Hapo tatizo nilionalo ni ile maana uliyoambiwa na mwalimu wako wakati unafundishwa neno hilo kwa mara ya kwanza... KWA MFANO, tulifundishwa kwa mara ya kwanza kwamba neno la kiingereza RIGHT maana yake UPANDE WA KULIA.. sasa akitokea mtu akakuuliza IS IT RIGHT? ndo kazi inapoanza..!!!"Kila pembe ya Dunia"
Kumbe Dunia ina pembe? bila shaka Mwalimu wangu wa Jografia aliniingiza chaka Eeee!
The Icebreaker😃😃😃"Kila pembe ya Dunia"
Kumbe Dunia ina pembe? bila shaka Mwalimu wangu wa Jografia aliniingiza chaka Eeee!
Mfano wako upo nje ya nilichokiongea,Hapo tatizo nilionalo ni ile maana uliyoambiwa na mwalimu wako wakati unafundishwa neno hilo kwa mara ya kwanza... KWA MFANO, tulifundishwa kwa mara ya kwanza kwamba neno la kiingereza RIGHT maana yake UPANDE WA KULIA.. sasa akitokea mtu akakuuliza IS IT RIGHT? ndo kazi inapoanza..!!!