Ombi la kuwachangia Lissu na Lema: Lengo zuri linaloweza kujenga tafsiri hasi

Ombi la kuwachangia Lissu na Lema: Lengo zuri linaloweza kujenga tafsiri hasi

Unaongea kama vile unanijua, mm sina chama na sijawahi kujihusisha na vyama ila kwenye upuuzi kama huo wenu ntawaambia hata msipotaka
Haya, wewe unanijua kwa kuniweka kwenye kundi kama hilo uliloniweka wewe?

Mimi sina shaka yoyote juu yako kwa sababu michango yako siku zote inaonekana hapa unakoshibishia tumbo lako.
Kwani ni mara ya kwanza leo kukusuta kwa ujinga unaouonyesha humu kila mara?

Haya sasa, nimekuweka sehemu yako, lete kelele nyingine mnafiki mkubwa wewe.

Wanafiki kama wewe ndio maadui wakubwa wa taifa hili. Watu wanaumizwa wanaonewa, nyinyi mpo mnakenua tu meno; mara mjidai hamhusika na chama chochote cha siasa! Hopeless kabisa.
 
Haya, wewe unanijua kwa kuniweka kwenye kundi kama hilo uliloniweka wewe?

Mimi sina shaka yoyote juu yako kwa sababu michango yako siku zote inaonekana hapa unakoshibishia tumbo lako.
Kwani ni mara ya kwanza leo kukusuta kwa ujinga unaouonyesha humu kila mara?

Haya sasa, nimekuweka sehemu yako, lete kelele nyingine mnafiki mkubwa wewe.

Wanafiki kama wewe ndio maadui wakubwa wa taifa hili. Watu wanaumizwa wanaonewa, nyinyi mpo mnakenua tu meno; mara mjidai hamhusika na chama chochote cha siasa! Hopeless kabisa.
Ila upinzani raha sana, yn kuna watu wapo wote chadema lakini Anasubiri mwenzake apate shida ili yeye asonge mbele.
 
Wanichangie mimi nikamilishe diploma yangu ninunue na kipakatalishi kwa ajili ya kuhifadhia notisi zangu za masomo chuoni.
 
Nipo tayr kuchangia,pesa ni zangu hakuna aliyenisaidia kusoma na kuzipata,kuliko niende bar bora niwachangie
 
CHADEMA mtapigwa hela mpaka lini?
Zile nasikia ziliingia kwenye account ya mwenyekiti na tayar ashazituma Dubai kwa bi'mdogo ili zimsaidie matumizi ya hapa na pale. Kina Lema na Lisu hawana chao zaidi ya kubwabwaja.
mwendo wa kupigwa tena wajinga ndiyo waliwao
Huyo Lema kiinglish hawezi, huko duniani atakozunguka ataongea lugha gani? And na hizi travel bans za covid ni nchi gani itawapokea kibwegebwege?
wachaga wamewashika masikio ninyi watu, kweli unachanga pesa unampa "lema", atembee kwenda nchi gani wakati kama nia yake ni kuchafua tz anaweza kuichafua hata kwa internet tu .
Mataga mna hali ngumu sana, mmefunga Mbowe mkaona mmemaliza, poleni sana.
Mnaogopa nini sasa na nyie mna majeshi.
Tutachangia viongozi wetu wafanye kazi ya kuwakomboa nyie watoto wa teuzi wa bi, Chokochoko.
 
Nipo tayr kuchangia,pesa ni zangu hakuna aliyenisaidia kusoma na kuzipata,kuliko niende bar bora niwachangie
Tutachanga MaCCM hawataamini naingiza milion moja keshi , j,3.
Acha tuwatafutie ukombozi na tuwakomboe hawa watoto wa teuzi, wa bi, Chokochoko.
 
Huyo Lema kiinglish hawezi, huko duniani atakozunguka ataongea lugha gani? And na hizi travel bans za covid ni nchi gani itawapokea kibwegebwege?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom