Ombi la kuwachangia Lissu na Lema: Lengo zuri linaloweza kujenga tafsiri hasi

Huyo Lema kiinglish hawezi, huko duniani atakozunguka ataongea lugha gani? And na hizi travel bans za covid ni nchi gani itawapokea kibwegebwege?
Kwahiyo huko Canada aliko anaongea kichaga? Au unadhani kizungu Ni lugha ya maajabu. Ni sawa tu na kihehe nk
 
Kumbe ndio maana Lissu anataka Mbowe aendelee kukaa lupango mpaka pale serikali utakapoamua kumwachia,lengo lake kuu ni kupiga pesa kama hivi kwakua anajua kabisa Mbowe akiwepo uraiani hawezi kupata vitonga kama hivi.

Zile hela ambazo Wana CDM wamewahi kuchanga kwaajili ya ile kesi yao,kisha SSH akaamulu zirudishwe zimefanya kazi gani?

Wanasema kutangaza mabaya? Kwanini wasitumie tu mitandao kufanya hivyo?

Cc Erythrocyte minyoo technically
mama D Victoire dudumizi09 Jumbe Brown NAWATAFUNA Numbisa
 
Hawa ndio wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi?

"Tutaweka maliasili ya nchi kama bond ili tupate hela za kuijenga nchi"

"Tutashtakiwa MIGA"

Takataka kabisa.
Tulijua tu wataishiwa. Watafute kazi hata udereva wa taxi. Sio kupeleka picha mbaya isiyokua kweli nje. Sasa wamekwama wamegeukia ndani ya nchi kutafuta hela ya kula. Bora warudi. Biashara ya kusaliti tanzania ni ngumu haiwezekani.
 
uongo utakusaidia nini wewe kapuku
 
Jasusi uchwara kaa pembeni kabisa na shughuli za kiume. Wewe umeshajisalimisha achana na wanaume walioamua kufanya kazi.
 
Wawachangie.
ila na wao si warudi nyumbani.

Hawana sababu tena ya kubaki huko.
waliyemkimbia alishakufa.na wao wanajua.

Hata kambona alirudi tanzania baada ya nyerere kung'atuka.hakuna aliyejishughulisha nae.

Lissu alirejea bongo baada ya mkapa kumaliza kipindi chake.tena akagombea ubunge na akawin

Hv hata nyie ktk kufikiri kwa kawaida, lema au lisu wakija kuna tishio lolote la maisha yao?

au wanabaki huko ili kuleta taswira hasi kwamba tanzania ina wakimbizi wa kisiasa.

nao wamependa tu kakaa exile kwasab kuna vipesa watakuwa wanapewapewa na wenyeji wao.
 
I have gone through most of the comments here, na swali nataka niwaulize wale wanauliza cdm watachangisa mpaka lini, watu ambao wanauliza maswali kaa hayo ni wale hawana chochote, hawana la kufanya, na mengi ambao sitaki kuyataja hapa, kaa unasoma na unaona hii kuchanga ni upuzi, just pass on, me here $20,000 ziko tayari tokakwangu kwa ajiri sio tu kwa kizazi cha leo ile vizazi vijazo, inawezekana aje baada ya miaka 60 ya uhuru watoto bado wanakaa chini ya miti ndio wasome hata dawati hamna, wamama wanatembea the whole day siku nzima kutafuta maji, hosipitali dawa hamna, unakuta darasa moja lina watoto karibia 100, iko shule moja lindi ina standard 1-mpaka 4 na mwalimu ni moja pekee, sababu ccm inajua mtaji wao mkubwa ni ujinga na umasikini wa watz, mpaka leo unakuta nyumba za matope na nyasi, AIBU KUBWA, so thats why i am saying my $20,000 is very ready, na wakihitaji zingine niko ready, nitakubukwa kwa yale mema nilitenda na sio utajiri wangu, magari ya kifahari na vitu kaa hizo, kwa wale wanaelewa umuhimu wa hii jambo welcame we change our country, God bless tz
 
Na wale viongozi wa upande wa pili mbona huwazungumzii kabisa, na kila siku unawachangia tena kwa furaha kubwa, pamoja na kwamba wewe siyo "fala" kama hao wa upande wa CHADEMA!
Unaongea kama vile unanijua, mm sina chama na sijawahi kujihusisha na vyama ila kwenye upuuzi kama huo wenu ntawaambia hata msipotaka
 
Hahaha .. wanasema wahenga 'ubaya hauna kwao'...

Watu wenye akili washajua hapa 'tunapigwa tena'....

Halafu dunia hii yenye internet unahitaji kweli kwenda phisically kila nchi??.

Lema yupo North America..
Lissu yupo Europe..
Si wagawane?
Lema ni nchi mbili au Tatu Tu za kwenda.
Lissu yupo makao makuu ya European Union ..mbona havihitaji mchango hivi??
 
Tutawachangia. Hawa ccm tumesema nao hapa hapa ndani hawasikii ni miongo sasa. Kwa kuwa hatupaswi ku bow down basi twende tukasemee hata huko nje.
 
Mbona Babati na tindo siwaoni kwenye huu uzi au wako bize PayPal wanafanya miamala? Ahahahahah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…