Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yanarekebishikaKutukana na kudhalilisha watu huko kwenu ndiyo uchapakazi?
dagaa za mbwa ndio zipi?,shibe kitu kibaya sanaUshashiba maharage na dagaa za mbwa unakuja kujaza server huku. Khe jamani!!! Msitutwishe zigo la kunguni sie.
Utakuwa mpumbavu wa wapumbavu kusema Makonda ni kiongozi!Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi
Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi
Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Ondoa ujinga wako hapa. Kuwa na mawazo ya kitumwatumwa ni hasara tupu.Aaahaaaaaa
Mkoa wa Dar unataka mtu mwenye calibre ya Makonda
Mama akijichanganya tu...Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi
Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi
Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Washauri wake tupoMama akijichanganya tu...
Sasa hapo utumwa wangu upo wapi?Ondoa ujinga wako hapa. Kuwa na mawazo ya kitumwatumwa ni hasara tupu.
Sasa hapo upumbavu wangu upo wapi!?Utakuwa mpumbavu wa wapumbavu kusema Makonda ni kiongozi!
Makonda alifanya nini Dar hadi akumbukwe zaidi ya kupora magari ya watu na viwanja ?Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi
Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi
Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Uko kwenye akili zako. Hivi mtu mwenye akili unawezaje kuona Makonda ni kiongozi? Ukiambiwa useme alichofanya muda wote aliokuwa mkuu wa mkoa utasema alifanya nini?Sasa hapo utumwa wangu upo wapi?
Acha ya kuambiwaMakonda alifanya nini Dar hadi akumbukwe zaidi ya kupora magari ya watu na viwanja ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Resumé yake wanayo wale wenye misuli ya kisiasa wenye uwezo wa kuamua hatima ya MakondaUko kwenye akili zako. Hivi mtu mwenye akili unawezaje kuona Makonda ni kiongozi? Ukiambiwa useme alichofanya muda wote aliokuwa mkuu wa mkoa utasema alifanya nini?
Aaaahaaaa
Unamanisha amsha amsha!?
Mtu mwenye tuhuma za wazi za jinai kadhaa na bado watu makovu hayajapona unataka arudi?makonda alipamudu sana
Nao si wajinga tu. Nchi inanuka umaskini mtupu!Resumé yake wanayo wale wenye misuli ya kisiasa wenye uwezo wa kuamua hatima ya Makonda
We tulizanatu hapo
Hizo tuhuma zishathibitishwa na mahakama yeyote hapa Tanzania!?Mtu mwenye tuhuma za wazi za jinai kadhaa na bado watu makovu hayajapona unataka arudi?