Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #41
Huwezi badili chochoteNao si wajinga tu. Nchi inanuka umaskini mtupu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi badili chochoteNao si wajinga tu. Nchi inanuka umaskini mtupu!
Ndiyo maan nimekuambiwa wewe ni mtumwa wa akili. Hujijui na ni wakuonewa huruma.Huwezi badili chochote
tuhuma hazikwepeki hata wewe naweza kukutuhumu muda wowote ukiwa kikwazo katika njia zangu za panyaMtu mwenye tuhuma za wazi za jinai kadhaa na bado watu makovu hayajapona unataka arudi?
Comment siyo ya kiungwana, mrembo kama wewe hupaswi kukomenti vile dear KajojoUshashiba maharage na dagaa za mbwa unakuja kujaza server huku. Khe jamani!!! Msitutwishe zigo la kunguni sie.
Bora Mimi ni mtumwa wa akili yangu..Ndiyo maan nimekuambiwa wewe ni mtumwa wa akili. Hujijui na ni wakuonewa huruma.
Hahaha we jamaa una makasiriko kweli kweli ulinyimwa ureuzi ? Pole angalia usije ukafa mapema mana hawajui jina hata mamba huweki?
I'm sure kuna mtu amedukua account yako mkuu...🤣Ushashiba maharage na dagaa za mbwa unakuja kujaza server huku. Khe jamani!!! Msitutwishe zigo la kunguni sie.
Labda yeye mwenyewe anafaaHahaha we jamaa una makasiriko kweli kweli ulinyimwa ureuzi ? Pole angalia usije ukafa mapema mana hawajui jina hata mamba huweki?
Kila.mtu hafai? Nani basi anafaa hapo lumumba
Sukuma Gang ndo nani hao!?Makonda tena? Hivi nyie sukuma Gang mnajiona mna haki ya kuongoza nchi hii? Kubalini matokeo
Hawezi kuwa Makonda yuleyule wa JPM. Hata huyo Makala angekuwa wakati wa Magufuli asingepwaya hivyo.Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi
Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi
Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Ombi lako limetimia lakini kwa njia nyingineSijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi
Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi
Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Kivip mkuuOmbi lako limetimia lakini kwa njia nyingine