Ombi: Makalla Dar ishamshinda. Mama mrudishe Makonda

Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi

Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi

Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Utakuwa mpumbavu wa wapumbavu kusema Makonda ni kiongozi!
 
Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi

Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi

Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Mama akijichanganya tu...
 
Sijawahi kupenda mambo binafsi ya Makonda,ila naikubali kazi yake ya Uongozi na Uchapakazi

Sina haja ya kuweka resumé yake hapa kwani kazi zake zinaishi

Kama Mama hatojali,mrudishe Makonda
Makonda alifanya nini Dar hadi akumbukwe zaidi ya kupora magari ya watu na viwanja ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Uko kwenye akili zako. Hivi mtu mwenye akili unawezaje kuona Makonda ni kiongozi? Ukiambiwa useme alichofanya muda wote aliokuwa mkuu wa mkoa utasema alifanya nini?
Resumé yake wanayo wale wenye misuli ya kisiasa wenye uwezo wa kuamua hatima ya Makonda

We tulizanatu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…