Ombi: Tunamuomba Rais Mwinyi amuwajibishe waziri wake kabla ya wananchi kumuwajibisha

Ombi: Tunamuomba Rais Mwinyi amuwajibishe waziri wake kabla ya wananchi kumuwajibisha

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Kitendo alichokifanya waziri wako wa kilimo, umwagiliaji, maliasili na mifugo mh Shamata Shaame Khamis sio cha kiungwana na kiutu. Kile ni kitendo cha kinyama ambacho hakutakiwa kumfanyia mtanzania mwenzetu au binadamu mwenzetu kwa sababu yoyote ile.

Mtu kaingiza chakula mnafanyia unyama ule, je angeingiza bange au madawa ya kulevya hali ingekuaje?

Waziri ameshajiuliza kwamba ingekuwa ni yeye ndio kafanyiwa ule unyama leo hii angekuwa katika hali gani?

Mh raisi Mwinyi wewe ni mzanzibara, jaribu kutumia cheo chako kutetea ndugu zako maana kuna siku na wewe au ndugu zako yatawakuta haya haya yaliomkuta mama yule. Na pia ukiwa huku bara kama mbunge na waziri nafikiri umeona jinsi wabara tulivyokuwa na mioyo ya upendo kwa watu wote bila kujali kama mtu husika amezaliwa visiwani au bara, sasa iweje sisi huko upange tubaguliwe.

Waziri wako kajidai kujitetea lakini utetezi wake hauna maana yoyote kwa sababu hili sio tukio la kwanza au la pili kutokea. Imeshatokea sana mpaka muda mungine watu wanachoka ku report.

Ubunge, uwaziri na hata uenyekiti wa serikali za mitaa msitupe, lakini pia hata tukijitahidi kufanya vibiashara vidogo vidogo hata vya ndizi pia tunakataliwa? Huu sasa ni muungano au mkanganyo?
Hii ni sawa na baniani (mtanganyika) mbaya, lakini kiatu chake (madaraka kwa upande wa bara) kizuri.

Asante.
 
Kitendo alichokifanya waziri wako wa kilimo, umwagiliaji, maliasili na mifugo mh Shamata Shaame Khamis sio cha kiungwana na kiutu. Kile ni kitendo cha kinyama ambacho hakutakiwa kumfanyia mtanzania mwenzetu au binadamu mwenzetu kwa sababu yoyote ile...
Wewe kamfukuze, sie hatutaki muungano.
 
Kitendo alichokifanya waziri wako wa kilimo, umwagiliaji, maliasili na mifugo mh Shamata Shaame Khamis sio cha kiungwana na kiutu. Kile ni kitendo cha kinyama ambacho hakutakiwa kumfanyia mtanzania mwenzetu au binadamu mwenzetu kwa sababu yoyote ile...
MImi nikinunua feni tu kutokea znz nikifika bara lazima niilipie kodi kwanini kuwe na malalamiko kwa mzigo wa bara kutakiwa ufuate sheria za znz!
 
MImi nikinunua feni tu kutokea znz nikifika bara lazima niilipie kodi kwanini kuwe na malalamiko kwa mzigo wa bara kutakiwa ufuate sheria za znz!
Hata yule mama alilipia ushuru lkn bado aliendelea kunyimwa haki yake. Kwanini?
 
Mzee wetu Jk alituachia msala mkubwa Sana wa kuitwa muungano
 
Kitendo alichokifanya waziri wako wa kilimo, umwagiliaji, maliasili na mifugo mh Shamata Shaame Khamis sio cha kiungwana na kiutu. Kile ni kitendo cha kinyama ambacho hakutakiwa kumfanyia mtanzania mwenzetu au binadamu mwenzetu kwa sababu yoyote ile.

Mtu kaingiza chakula mnafanyia unyama ule, je angeingiza bange au madawa ya kulevya hali ingekuaje?

Waziri ameshajiuliza kwamba ingekuwa ni yeye ndio kafanyiwa ule unyama leo hii angekuwa katika hali gani?

Mh raisi Mwinyi wewe ni mzanzibara, jaribu kutumia cheo chako kutetea ndugu zako maana kuna siku na wewe au ndugu zako yatawakuta haya haya yaliomkuta mama yule. Na pia ukiwa huku bara kama mbunge na waziri nafikiri umeona jinsi wabara tulivyokuwa na mioyo ya upendo kwa watu wote bila kujali kama mtu husika amezaliwa visiwani au bara, sasa iweje sisi huko upange tubaguliwe.

Waziri wako kajidai kujitetea lakini utetezi wake hauna maana yoyote kwa sababu hili sio tukio la kwanza au la pili kutokea. Imeshatokea sana mpaka muda mungine watu wanachoka ku report.

Ubunge, uwaziri na hata uenyekiti wa serikali za mitaa msitupe, lakini pia hata tukijitahidi kufanya vibiashara vidogo vidogo hata vya ndizi pia tunakataliwa? Huu sasa ni muungano au mkanganyo?
Hii ni sawa na baniani (mtanganyika) mbaya, lakini kiatu chake (madaraka kwa upande wa bara) kizuri.

Asante.
Zanzibar siyo kwenu
 
Wanzanzibar wengi weusi na hao mixer hawajui kwamba asili Yao ni Bara KUPITIA slave trade tabora na bagamoyo mi m Zanzibar na most of them ninwasukuma tabora ,wanyamwezi biashara ya utumwa wao wanasahau walipelekwa uko kiutumwa na waarabu
 
Back
Top Bottom