Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
Ndio faida YA kuwa maarufu..Na si anapenda showoff..watu wanafuatilia maisha yake .Ila hawaoni cha shoo yake wale nyimbo mpya au kuwa Na demu

Japo wengi wanasema anafanya kazi GSM...sijui kasomea nini??

Ila habari upande wake hazimsemi vizuri
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
chembe chembe za wivu ulizonazo ni sawa sawa na chembe chembe za mavi ninazoziona nikizagamua demu dogi staili....

utakufa vibaya ww
 
Iko hivi leo ngoja niwagusie kidgo kuhusu huyu jamaa, kifupi Ommy anatumika km wakala wa mason kwa hapa bongo hizi ni mbinu za kumuweka karibu na raisi wa wasafi ili ukifika wakati wa majamaa kufanya yao kw raisi inakuwa rahisi(si umeona hapa neno raisi na rahisi yanavyoendana) so Ommy kuwa kwenye hzo level ni kawaida kaeni mkao wa kula nakuketeeni makala kamili kuhusu huyu jamaa na hawa mason kuhusu huu mpango wao achaneni na mambo ya ubwabwa sijui kampuni ya mabango. Fiksi
Ehe,tunasubiria

Ova
 
Ndio faida YA kuwa maarufu..Na si anapenda showoff..watu wanafuatilia maisha yake .Ila hawaoni cha shoo yake wale nyimbo mpya au kuwa Na demu

Japo wengi wanasema anafanya kazi GSM...sijui kasomea nini??

Ila habari upande wake hazimsemi vizuri
Wewe ni MSENGEnyaji
 
Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
Raia wana gazabu aise [emoji1]

Ova
 
Iko hivi leo ngoja niwagusie kidgo kuhusu huyu jamaa, kifupi Ommy anatumika km wakala wa mason kwa hapa bongo hizi ni mbinu za kumuweka karibu na raisi wa wasafi ili ukifika wakati wa majamaa kufanya yao kw raisi inakuwa rahisi(si umeona hapa neno raisi na rahisi yanavyoendana) so Ommy kuwa kwenye hzo level ni kawaida kaeni mkao wa kula nakuketeeni makala kamili kuhusu huyu jamaa na hawa mason kuhusu huu mpango wao achaneni na mambo ya ubwabwa sijui kampuni ya mabango. Fiksi
Rubbish.
 
Iko hivi leo ngoja niwagusie kidgo kuhusu huyu jamaa, kifupi Ommy anatumika km wakala wa mason kwa hapa bongo hizi ni mbinu za kumuweka karibu na raisi wa wasafi ili ukifika wakati wa majamaa kufanya yao kw raisi inakuwa rahisi(si umeona hapa neno raisi na rahisi yanavyoendana) so Ommy kuwa kwenye hzo level ni kawaida kaeni mkao wa kula nakuketeeni makala kamili kuhusu huyu jamaa na hawa mason kuhusu huu mpango wao achaneni na mambo ya ubwabwa sijui kampuni ya mabango. Fiksi
Kunanina hapo unajiona umeandka point kumbe uqumar tu
 
Bongo ukitoboa jiandae kuitwa Punga
Je kuna mapunga wangapi nchi hii?
Je kwanini hawajafikia level zake kama kweli ni Punga?Wabongo na sio sisi tu bali wanadamu wote hupenda kuona tukiwa level moja trunateseka...Mmoja akitoboa tu akavuka level ya mateso basi anageuka Adui
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Tafuta hela jamaa yangu, ya watu waachie wenyewe!
 
Back
Top Bottom