NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
MKUU SIKU ZOTE MABINTI HUWA WAKIKE ILA. LIKEMabinti Wa kike Tz washaona wanaume hapa bongo ni warafi Wa papuchi Akiwa na Shape mbatata sura majaaliwa basi anajua ataishi mjini kupitia viungo vyke, Binti kama huyo kumbadilisha akili yake ajishighulishe ni ngumu mno na hata umpe mtaji hawezi jiajiri.
Conclusion wacha wafanye wanalotaka Muumba wa ardhi na Mbingu ndio bingwa wa kujaji binadamu😎
Ukosefu wa ajira pia hawataki kufanya kazi nzito kwa kigezo Cha urembo,ndiyo kibawafanya wajiuze kwa sitaili hiyo.Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Waliozaliwa kwenye teknolojia yenye utandawazi bado hawajaweza kumiliki simu kaka.Hiki ndo kizazi chenu vijana mliozaliwa kwenye teknolojia ya utandawazi.....
Kwa style hii hatujengi...aisee huyu hatari jamani alafu wanawake wapuuzi wanasema eti nyama ile ile...weee huyo akikukatikia hivyo lazima uuze nyumba ya urithi
Sasa mwanamke mrembo akafanye kazi nzito ili iwaje? Hayo matumizi mabaya ya hawa waremboUkosefu wa ajira pia hawataki kufanya kazi nzito kwa kigezo Cha urembo,ndiyo kibawafanya wajiuze kwa sitaili hiyo.
Mkuu ume download Tiktok kwa kuchelewa sana kulifungua hilo pazia, tayari siku nyingi nadhani ungelikuwa ushatoa neno!Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
utampa kiwanja chako na lile deni la kodi unamlipia kabisa 🤣🤣🤣🤣Kwa style hii hatujengi...aisee huyu hatari jamani alafu wanawake wapuuzi wanasema eti nyama ile ile...weee huyo akikukatikia hivyo lazima uuze nyumba ya urithi
Tick tock ni ya wamamaNilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.
Kabisa kiuno lainiiii. Vyote naona ata mkweche wangu wa raum nitampautampa kiwanja chako na lile deni la kodi unamlipia kabisa 🤣🤣🤣🤣
umesahau instagramTiktok na snapchat sijawahi kuzielewa
Hakuna la maana huko zaidi ya trends za ajabu ajabu
Kumbe nawe upo,kumejaa madalaliMkuu una ugeni sana huko telegram Kuna biashara kubwa sana zinaendelea huko. Biashara za mbususu na kuna madalali wa hizo kazi ambao wanapiga hela safi sana
Ndio rahisi kuuza ukielewa biashara unazama inboxTiktok na snapchat sijawahi kuzielewa
Hakuna la maana huko zaidi ya trends za ajabu ajabu
Una video tuone mkuu??Nilikuwa sijawahi ku install tiktok juzi nikaamua niidown load lengo nione vi comedy vya kina mc mbonele na yule mzee wa kujifanya wa mombasa kumbe ukitoa vichekesho trending videos zinazopendwa nchini buana ni za wadada wa kibongo nakutana nazo wanajibinua binua matako wanajifanya wanafanya remix za wasanii wengine mpaka wanatukana.
Sasa na hizi nguo wanazovaa nusu uchi mbona maadili yameshuka sana tena kwa kiwango kikubwa mno utandawazi ndo unakuja kwa style hii kweli.
Nashauri Serikali isiachie Uhuru namna hii lazima ifanye katafiti kdg kuweza kujua huenda tatizo hili la umalaya linasababishwa na ukosefu wa ajira. Tunatengeneza kizazi cha ovyo sana sidhani kama wapo wenye kazi zao wanaweza ku entertain ujinga wa namna hii.