Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

MKUU SIKU ZOTE MABINTI HUWA WAKIKE ILA. LIKE
 
Ukosefu wa ajira pia hawataki kufanya kazi nzito kwa kigezo Cha urembo,ndiyo kibawafanya wajiuze kwa sitaili hiyo.
 
Hiki ndo kizazi chenu vijana mliozaliwa kwenye teknolojia ya utandawazi.....
Waliozaliwa kwenye teknolojia yenye utandawazi bado hawajaweza kumiliki simu kaka.

Waliozaliwa kwenye utandawazi huu wa instagram au tiktok hata miaka 10 hawajatimiza kaka kwa sababu miaka 10 nyuma hakukuwa na haya mambo hapa bongo.

So sote tumezaliwa kabla ya hizi mambo kupamba moto.

Kama kuyaona ndo tunayaona yote wazee na vijana.
 
Ukosefu wa ajira pia hawataki kufanya kazi nzito kwa kigezo Cha urembo,ndiyo kibawafanya wajiuze kwa sitaili hiyo.
Sasa mwanamke mrembo akafanye kazi nzito ili iwaje? Hayo matumizi mabaya ya hawa warembo
 
Mkuu ume download Tiktok kwa kuchelewa sana kulifungua hilo pazia, tayari siku nyingi nadhani ungelikuwa ushatoa neno!

Kuna kawimbo fulani ka amapiano sijui kanaitwa "amajuu"! Mwimbaji kama anapiga chafya!

Ebanaee wadada wanakapenda hako na wanavyocheza sasa, ni matusi matupu!
 
Tick tock ni ya wamama
 
Roho ya ukahaba na uzinzi imemwagwa toka kuzimu Ili kuchochea ashiki ya ngono kupitia mavazi ya nusu uchi, kumbuka fashion industry ipo chini ya shetani owner's wengi wa hii industry ni agent, au luciferous. Lengo kuu ni kubomoa maadili. Kuanzia kizazi cha mwaka 2000 kimeuza nafsi zao na kipo kwenye matengenezo kuelekea uharibifu.
 
Zile dawa za kuongeza makalio, shape, na kutengeneza rangi ya chungwa si ndo Kazi yake hio
 
Mkuu una ugeni sana huko telegram Kuna biashara kubwa sana zinaendelea huko. Biashara za mbususu na kuna madalali wa hizo kazi ambao wanapiga hela safi sana
Kumbe nawe upo,kumejaa madalali
 
Chek haya mambo ya kufatwa inbox si ndo ya kuvunja ndoa shemeji yenu akifuma message kama hizi si dhahama hii , hadi wasap unafatwa inbox wanaomba urafiki

 
Una video tuone mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…