Dorome
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 397
- 746
Mimi whatsap ndio ofisi nitafuta apps zote ila sio whatsapKwa mtu anayejihusisha na mambo ya ujasiriamali hawezi kukosa instagram na Whatsapp labda kama ni mwajiriwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi whatsap ndio ofisi nitafuta apps zote ila sio whatsapKwa mtu anayejihusisha na mambo ya ujasiriamali hawezi kukosa instagram na Whatsapp labda kama ni mwajiriwa.
Pitia uone alichosema niliye m quote.Matumizi ya kibiashara ni tofauti ni matumizi binafsi
Mimi ata JF situmiiSijui mimi ndo mshamba ila kuna mitandao sijawahi hata kujiunga nayo mfano:
1. TikTok
2. Snapchat
3. Instagram ( hii nilijiunga nikakuta ni umalaya tu nikafuta akaunti yangu fasta 2015)
4. Facebook (nilifuta application kwenye simu yangu, naichunguliaga mara chache sana kwa mwezi kupitia laptop tu)
5. WhatsApp (nilifuta kwenye simu yangu ya kila siku, naivizia mara moja moja kwenye simu ambayo situmii. Hata line inayotumika huko siyo yangu ila ndo hivyo)
Kimsingi nimekuwa very much against social media. Kwa sasa nadhani JF ndo natumia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tiktok na snapchat sijawahi kuzielewa
Hakuna la maana huko zaidi ya trends za ajabu ajabu
Ila wee dea bhana uwiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo
Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yaaan.Na kama una akili fupi alafu unadate zako na msukuma wako au muha unaweza umuache ukihisi akupendi[emoji28][emoji28]
Shida ni pale mawazo ya mtu akifikiria mitandao ya kijamii ni kwaajili ya umbea na umalaya.Mimi whatsap ndio ofisi nitafuta apps zote ila sio whatsap
Huko tokotoko panafikika kweli nitafikaje nipe mwongozo nikajionee!! il jf nimeipenda jamani sijui kuna uchawi humuIz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo
Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
Eeee!! Bwana eeee!! duuu!Na wewe yachezeshe
Yupi sasa?Dullvani ama Hakika?Mwana sio riziki yule 😂
I always admire and wish to have a sister kama wewe.[emoji1666][emoji173]Tiktok na snapchat sijawahi kuzielewa
Hakuna la maana huko zaidi ya trends za ajabu ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unalalamika hapa ukiwa alone full kuview huku unahemea juu juu
Wote. [emoji23][emoji23][emoji23]Yupi sasa?Dullvani ama Hakika?
Hao ndio special sasa....fahari ya mwanamke tako litingishikeHivi huko Tik tok Kuna kitu gani special ukiachana na hao wachezesha makalio..??!!..