Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

Ongezeko la wadada kuchezesha makalio katika mitandao

Matumizi ya kibiashara ni tofauti ni matumizi binafsi
Pitia uone alichosema niliye m quote.

Yeye kasema hiyo mitandao kafuta kabisa kwenye simu yake na imefikia hadi kuchungulia mara moja moja sana tena kwa namba isiyokuwa ya kwake.

Maanake ni kwamba kwake yeye hiyo mitandao haitumii kabisa iwe kibiashara au binafsi.
 
Sijui mimi ndo mshamba ila kuna mitandao sijawahi hata kujiunga nayo mfano:
1. TikTok
2. Snapchat
3. Instagram ( hii nilijiunga nikakuta ni umalaya tu nikafuta akaunti yangu fasta 2015)

4. Facebook (nilifuta application kwenye simu yangu, naichunguliaga mara chache sana kwa mwezi kupitia laptop tu)

5. WhatsApp (nilifuta kwenye simu yangu ya kila siku, naivizia mara moja moja kwenye simu ambayo situmii. Hata line inayotumika huko siyo yangu ila ndo hivyo)

Kimsingi nimekuwa very much against social media. Kwa sasa nadhani JF ndo natumia sana.
Mimi ata JF situmii
 
Iz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo

Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
Ila wee dea bhana uwiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na kama una akili fupi alafu unadate zako na msukuma wako au muha unaweza umuache ukihisi akupendi[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yaaan.
 
Mimi whatsap ndio ofisi nitafuta apps zote ila sio whatsap
Shida ni pale mawazo ya mtu akifikiria mitandao ya kijamii ni kwaajili ya umbea na umalaya.

Nakumbuka siku ile ambayo mitandao ya kijamii ya facebook, Instagram na Whatsapp ilipofungwa; kuna watu walipoteza dili na pia mambo mengi ya kiofisi hayakuenda sawa kwasababu Whatsapp kwasasa inarahishisha mambo mengi ya kikazi
 
Iz ze branch ofu APP zat iz uzed tu rimaind yu ifu yu a singo

Kikubwa nilichokiona tiktok ni couples 'zinazoringishia' namna mahusiano yao yanavyoendelea vizuri
Huko tokotoko panafikika kweli nitafikaje nipe mwongozo nikajionee!! il jf nimeipenda jamani sijui kuna uchawi humu
 
Hivi huko Tik tok Kuna kitu gani special ukiachana na hao wachezesha makalio..??!!..
 
Back
Top Bottom