Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mimi sikomoi bwana. Na mwanangu kugawa namba ni utashi wake.porojo au nini nini nitaendela tu kusema kiongozi
narudia tena wewe endelea kutafuta namba za watoto wakali na uwatumie kadri utakavyo,lakini usisahahu kuliweka hili kichwani,kadri unavozidi kuchukua namba za watoto wa wenzio dada wa wenzio wakali ndivyo unavoongeza chance ya binti zako pia kutoa namba zao ili washughulikiwe vyema na wanaume wenzako hapo baadae au labda dada zako huko somewhere wanatoa namba ili washughulikwe vilivyo na wanaume wenzako,what goes around comes around kiongozi
hii dunia hainaga mbabe banah kamwe usije ukadhani kuwa kufanya kitu Fulani unamkomoa mtu Fulani,wakati wewe unafikiria kumkomoa dada au binti wa Fulani kuna manguli wengine huko nao wanaplan namna ya kukomoa dada zako au binti zako,fair share
sawa na ambavyo leo kuna watu wanajitutumua kutoka na wake za watu wanasahahu kuwa hata wao watakuja kuoa ……… chochote akifanyacho mtu lazima kizae matunda kaka usije ukadangaynika uchafu unaoufanya kwa mabinti au dada wa wengine utakuwa ndo mwisho…….Maisha ni mchezo wa kupokezana vijiti,tulipokuwa watoto hatukujua kuwa tutakuja kuwa watu wazima tuwe na watoto wetu watusumbue kama tulivyowasumbua wazazi,lakini sasa tunaendelea kukua wazaziwetu ndo wanamaliza mbio zao wanatukabidhi vijiti tunaendela kukimbia na kuuona moto walioupitia wakati wanatulea…..hayo ndo Maisha kaka.