Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kodi imekusanywa kuanzia Serikali ya Mkoloni na itaendelea kukusanywa.
Mwendazake alikosea sehemu moja. Aliwafirisi wafanya biashara wakubwa then akakosa mahali pa kukusanya kodi, ndiyo akaja na wimbo wa KIJINGA wa EFD machine.
Mkapa na Kikwette ndiyo waliojenga uchumi imara bila hiyo EFD yenu ambayo mumeifanya ndiyo collection driver.
Ukiwa kiongozi unapswa ufuate Pareto principle kwenye kujenga uchumi. Pareto Principe inasema ni Asilimia 20% tu ya walipa kodi ndiyo huleta 80% ya mapato yote. Hao ndiyo una deal nao kama Twiga Cement, TCC, TBL, BAKHRESSA, MODEWJI, IPP etc. Hawa akina kajamba nani waliobakia ambao ni 80% wanachangia 20% tu ya mapato ambao ni vituo vya petrol station, maduka ya Kariakoo, mabaa, guest house, mabasi etc.
Yaani nguvu kubwa inatumika kwenye chanzo kikubwa cha kodi. Hiyo ndiyo AKILI
Lakini akili mbovu ya Mwendazake iliwakera na kuwa harass wafanyabiashara kama Yusuf Manji ikasahau kuwa ni mlipa kodi kupitia wafanyakazi aliowaajiri, bidhaa anazo nunua na ku export as well as anazo import.
Tuna Imani na Rais SSH tutakusanya kodi iliyo ya haki na maisha yataendelea
Mwendazake alikosea sehemu moja. Aliwafirisi wafanya biashara wakubwa then akakosa mahali pa kukusanya kodi, ndiyo akaja na wimbo wa KIJINGA wa EFD machine.
Mkapa na Kikwette ndiyo waliojenga uchumi imara bila hiyo EFD yenu ambayo mumeifanya ndiyo collection driver.
Ukiwa kiongozi unapswa ufuate Pareto principle kwenye kujenga uchumi. Pareto Principe inasema ni Asilimia 20% tu ya walipa kodi ndiyo huleta 80% ya mapato yote. Hao ndiyo una deal nao kama Twiga Cement, TCC, TBL, BAKHRESSA, MODEWJI, IPP etc. Hawa akina kajamba nani waliobakia ambao ni 80% wanachangia 20% tu ya mapato ambao ni vituo vya petrol station, maduka ya Kariakoo, mabaa, guest house, mabasi etc.
Yaani nguvu kubwa inatumika kwenye chanzo kikubwa cha kodi. Hiyo ndiyo AKILI
Lakini akili mbovu ya Mwendazake iliwakera na kuwa harass wafanyabiashara kama Yusuf Manji ikasahau kuwa ni mlipa kodi kupitia wafanyakazi aliowaajiri, bidhaa anazo nunua na ku export as well as anazo import.
Tuna Imani na Rais SSH tutakusanya kodi iliyo ya haki na maisha yataendelea