Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Utakuwa na ushindani ndani ya CCM but still mwenye nyota na JPM ndio atakayekuwa mbunge.Mwaka huu 2020 uchaguzi utakuwa wenye ushindani mkubwa sana zaidi ya mwaka 2015.
Waliopo madarakani wajiandae kujiajiri kama wanavyotoaga ushauri kwa vijana wa vyuo vikuu.
Haaahaaa
Mkuu upo kwenye chumba chenye nyuzijoto ngapi?Mwigulu Mchemba
Juma Nkania
Nimrodi Mkono
Zito
Lema
Mdee
Mnyika
Kubenea
Sugu
2020
MwambeNape
Mwigulu
Bashe
Waitara
Ndugai
Mtulia
Mtolera
Makamba
Mkono
Kalanga
Milya
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Kasimu Majaliwa mbunge
TL ,Afya ililazimu yeye kuwa nje ya bunge....! Lema na Mabula nao hawaja'perform' kwenye majimbo yao ya uchaguzi ?TL, Sugu, Lema, Mabula_Nyamagana
Typed Using KIDOLE
Toa sababu mkuu au kisukari nini