Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

Tatizo Bongo ujanja mwingi bidhaa zetu mbaya bei kubwa tazama sabuni za nje bei nzuri zinakizi viwango sabuni za Bongo sijui dofi mo azania mnatumalizia wake zetu na fangasi kwenye vidole
 
Hapana haitakiwi kuzuiwa. Najaribu kuwaza kwann hivi vitu havijawekewa Excise Duty mpaka leo, kama bado.

Serikali iamke kwa kuangalia Soko la ndani na namna ya kuongeza chachu kwenye kuanzisha viwanda vipya.
 
8. Chupi za mitumba
9. Sidiria za mitumba
10. Miswaki
11. Barakoa
12. Soksi za mitumba
13. Kalamu
 


Bidhaa za nje zimelemaza watu
Hadi tunakuwa na watu 'walemavu wa akili ' kabisa
 
furniture za bongo ni ovyo mno unanunua furniture mil 2.5 Baada ya mwaka mbao zote zinatoa unga.ni wachache wanaotengeneza furniture zenye ubora
 
Sema tu ni kwasababu africa tumebanwa kende na hawa wenzetu walioendelea na hii mikopo na misaada yao..ila ingewezekana mfano tukapiga stop mitumba ya nguo na nguo zenye ubora wa chini(lonya lonya) dk sifuri tu viwanda vya nguo bongo hii vingefurika na bei ya nguo hizo kadri muda unavyoenda ingekuwa ni sawa tu na hizo lonya za China..

This applies pia kwa bidhaa nyingine ndogondogo..

Sema ni ngumu maana tumekuwa kama dampo vile la bidhaa za china..na tunajenga uchumi wao..tukipiga ban figisu zinaanza..Africa tupo kwenye trap moja mbaya sana..kuchomoka hapo sijui aisee.
 
Kuna watu humu wachache wao wanataka wa import tu ukisema uzalishe humu, subiria zengwe lake

Ova
 
Ukisikia china India..Vietnam .....Korea wametoa misaada ujue moja ya masharti ni kuacha bidhaa zao ziingie nchini bila vikwazo......ukitaka kuzuia anza kwanza na misaada nchi inayopata
Wanajua kucheza na hizo policy zao vizuri. Mloganzila ile ina product za Korea nyingi sana.
 
Wapige marufuku pia bidhaa ambazo hazina ubora.
Nimeenda duka la nguo nimebambikwa jeans inatoa rangi, sio mbichi ila mpaka nguo ya ndani imeingia rangi.
 
Mada bora kabisa hii.

Serikali izingatie ushauri huu.

Ufagio wa kufagilia vumbi umeandikwa Made in China, boxer za wanaume pia.

Aibu hii
 
Walijaribu viongozi wetu wa East Afrika miaka hii enzi ya Magufuli, wakaweka azimio la kutoingiza mitumba. Wamarekani walikuja na vifungu mpaka viongozi wakanyoosha mikono.
 
jiwe alipowaambia umuhimu wa viwanda vidogo mkamuona chizi mmojawapo wewe
Sasa akili zimekurudi
 
Stick za mishikaki
Stick za meno
Ukishusha contena lake karioakoo leo kesho huna
Yaani ukitaka utajiri anzia hapo na leso
hakuna kiwanda Cha ndani chenye hizo bidhaa kwa bei nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…