Nimeuliza tu ikiwa na wao wataamua kuzuwia wasinunue mazao itakuwaje kwa upande wetu ?
Ndio hata sisi hatuwezi kuzuwia hizo bidhaa.
Hapa tunazungumza endao zitazuwiwa.
Kuna bidhaa hazipo hivyo.
Mfano ukizuwia fagio zisitoke china utaagizia nini huko china ?
Ukizuwia miswaki istoke china utaagiza nini kama mbadala wa mswaki huko china kama ilivyokuwa mbadala wa mashati ni vitambaa ?
Kuna bidhaa ambazo ukizikatisha moja kwa moja uagizaji basi hakuna muamala mwingine unaohusiana na bidhaa hizo.
Sasa mimi ninachouliza ni kuwa,je na wao wakisema wazuwie wasinunue vya kwetu itakuwaje ?