Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Shinyanga baiskeli ndiyo usafiri 😀😀
 
Duh kweli jf kuna wazee! Mimi kipindi hicho hata kutembea sijaanza
 
Fuatilia vzr historia, bukoba ilitangazwa kuwa manispaa mwaka 2005, b4 ilikuwa ni halmashauri ya mji
 
Kwani kuna shida gani baiskeli kuwa usafiri? Si ndio vizuri kuhakikisha kuwa energy efficient transport means?
😀😀😀Nikweli haileti air pollution ila kwa speed ya Baiskeli,inasababisha na maendeleo ya mtu mmoja mmjo kuwa na speed hiyo hiyo,ndiyo maana mleta Uzi amedisqualify Shy town kuwa Municipal
 
😀😀😀Nikweli haileti air pollution ila kwa speed ya Baiskeli,inasababisha na maendeleo ya mtu mmoja mmjo kuwa na speed hiyo hiyo,ndiyo maana mleta Uzi amedisqualify Shy town kuwa Municipal
Umeangalia upande mmoja tu. Baiskeli inakufanya usipate magonjwa na hivyo automatically unakuwa tajiri wa afya na kiuchumi. Fikiria nje ya box mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…