Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Shinyanga baiskeli ndiyo usafiri 😀😀Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Na arusha
Dar✔
Mwz✔
Dom ✔
Duh kweli jf kuna wazee! Mimi kipindi hicho hata kutembea sijaanzaMi kila nikija Sumbawanga kuna samaki fulani ni mtamu anaitwa Kuhe ila anauzwa bei kubwa kiasi. Siwezi acha kumla aseeh. Wanamuita kuku wa ziwani.
Kwa mara ya kwanza nimefika kipili ilikua 2005 ila Kirando sikuwahi kufika.
Umenikumbusha mbali aseeh. Nataka kufanya tour nyingine nifike Lupita Island
SiasaTanga kuitwa jiji ni aibu ya nchi
Amesimuliwa tu huyo.Unaijua Sumbawanga kweli wewe?
Kwani kuna shida gani baiskeli kuwa usafiri? Si ndio vizuri kuhakikisha kuwa energy efficient transport means?Shinyanga baiskeli ndiyo usafiri 😀😀
Usiwaze manSorry mkuu nilikufananisha na kiazi mmoja samahani bana.
Nilijua ni manispaa kumbe sioImefanya nini Babati?
Amsterdam pia kuna baiskeli nyingi sana.Kwani kuna shida gani baiskeli kuwa usafiri? Si ndio vizuri kuhakikisha kuwa energy efficient transport means?
Ilibebwa na ulaini wa kuiva maharage yake.Ni kama Mbeya tu isivyostahili kuwa jiji...
Tena ndio tunatakiwa kupromote usafiri huu. Ningekuwa Rais waendesha baiskeli wangekuwa wanapewa Dola 10 Kila mweziAmsterdam pia kuna baiskeli nyingi sana.
Fuatilia vzr historia, bukoba ilitangazwa kuwa manispaa mwaka 2005, b4 ilikuwa ni halmashauri ya mjiLabda utazame hii video kuhusu Bukoba na utaona waliioita Bukoba municipality miaka ya 90 hawakuwa wajinga....
Huu mji una busy Airport, uwanja mzr wa kapeti kaitaba, bandari ya pili kwa ukubwa kanda ya ziwa, hotel za nyota 3 kibao, mtandao mkubwa wa Barabara za lami na kwa kanda ya ziwa Bukoba ndo mji wa pili baada ya mwanza kwa idadi ya maghorofa ( sensa 2022)
Miradi inayoendelea ni ujenzi wa Barabara ya njia nne km 5, stendi ndogo ya mjini kati, stendi kubwa, chuo kikuu nk
View: https://youtu.be/rBYKFm9U19w?si=h1GCv0cpy0sG_sQN
Duh!Lindi inastahili kuitwa tarafa
😀😀😀Nikweli haileti air pollution ila kwa speed ya Baiskeli,inasababisha na maendeleo ya mtu mmoja mmjo kuwa na speed hiyo hiyo,ndiyo maana mleta Uzi amedisqualify Shy town kuwa MunicipalKwani kuna shida gani baiskeli kuwa usafiri? Si ndio vizuri kuhakikisha kuwa energy efficient transport means?
Hata Tanga na Mbeya inabidi zitaifishwe kuwa majiji zirudi kuwa miji iliyochangamka.Lindi haina hadhi kabsa hii manispaa itaifishwe
Umeangalia upande mmoja tu. Baiskeli inakufanya usipate magonjwa na hivyo automatically unakuwa tajiri wa afya na kiuchumi. Fikiria nje ya box mkuu😀😀😀Nikweli haileti air pollution ila kwa speed ya Baiskeli,inasababisha na maendeleo ya mtu mmoja mmjo kuwa na speed hiyo hiyo,ndiyo maana mleta Uzi amedisqualify Shy town kuwa Municipal
nilikuwa naichukulia poa sana Sumbawanga, mara ya kwanza nilifika 2018, aysee nimeshangaa sana kuona unaidharau hivyo. ni mji mzuri kuliko miji mingi sana TZ hiiSumbawanga ilipaswa kuwa ya kwanza hapo