Dah! Population haimake senseHizo zote ulizotaja ni makao makuu ya mikoa. Ni suala la kisera makao makuu ya Mkoa kuwa Manispaa. Hata Kibaha na Njombe zitapata hadhi hiyo siku za karibuni.
Aidha kimiundombinu ya pale mjini Tabora na Kigoma Ujiji huwezi kubeza. Kwa area na population Tabora na Shinyanga huwezi kuziondoa.
Lakini pia kama Tunduru, Korogwe, Mbinga, Babati ni Town Councils, hizo Manispaa zilizopo hapo haziwezi kuwa kundi moja na Town Councils.
Ongeza sumbawangaKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Ndio ,tena picha za zamani ,saizi ni Mji mkubwa magorofa kila sehemuNi Songea hapo?! Wanajitahidi.
Swax unaijua kweli wewe?Ongeza sumbawanga
Uko sahihi MkuuMkuu pale Tanga ni kuzuri kuliko Mbeya...
Ushawahi kufika au kuishi Mbeya mkuu?
Kabsaa kabsaa nakubaliana na hili wazo, ile ni Halmashauti ya Wilaya tuLindi haina hadhi kabsa hii manispaa itaifishwe
mim nipo kigoma mda huu na ndo naishi huku haifai kuitwa manispaa ilifaa iwe mji wa kigoma, maana hata mji wa Same unapazidi Manispaa ya KigomaKigoma ushawahi kufika? au umejisikia kuandika tu
EtiHivi Tanga ni jiji? 😂😂
Ndio tanga ilikuwa jiji enzi kuna viwanda na watu wengi sana walienda kule kufanya kazi viwandani lakn viwanda vilivokufa na tanga pakafa kilichopo sahv ni magofu japo utawala wa huyu mbunge wa sasa ameanza kupabadilisha
NdiooDuh Same Vs Kigoma
Mwanga hii hii au nyingine?kuna wilaya ina itwa mwanga wanahadhi ya mji mdogo pale tambarare ila kiukweli ni kama kakijiji naenjoy kufika na kukaa kwakua ni home ila sio siri hata hadhi ya mji mdogo haipo labda ilikuja kwa heshima ya baadhi ya viongozi na wadau wa chama wenye heshma.....
Sjajua kuhusu soko kwa kweli ila kumekaa vzr sana nlikupendaNa mimi nasikia hivyo, ivi si ndio huko kuna soko la EAC
hiyo hiyo na sio ile ya kigomaMwanga hii hii au nyingine?
haijawahi kivipi wakati ina hadhi ya mji mdogo na najiuliza mji mdogo kwa lipi hasa..,.... sikatai haina hiyo hadhi ila mamlaka husika zinatambua mwanga ina hadhi ya mji mdogo ila ukiangalia maendeleo mzunguko wa pesa makazi ya watu huduma za kijamii alooo utapagawa..... ni home ila dah sio mchezo upare mwingiMwanga haijawahi pewa hadhi hiyo.
Mwanga ya upareni au ya Kigoma?hiyo hiyo na sio ile ya kigoma
Mbeya pale soweto ambapo ni mjini kabisa unakutana na nyumba za udongo.Ni kama Mbeya tu isivyostahili kuwa jiji...
Katukoswa sana wana SongeaKwangu naona ziko sawa kasoro Lindi.
Songea View attachment 3064114View attachment 3064115View attachment 3064116View attachment 3064117View attachment 3064118View attachment 3064119
Ikiwezekan lindi iwe sehem ya mtwara😅Kabsaa kabsaa nakubaliana na hili wazo, ile ni Halmashauti ya Wilaya tu