Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Dah! Population haimake sense
 
Ongeza sumbawanga
 
mim nipo kigoma mda huu na ndo naishi huku haifai kuitwa manispaa ilifaa iwe mji wa kigoma, maana hata mji wa Same unapazidi Manispaa ya Kigoma
Duh Same Vs Kigoma
 
Ndio tanga ilikuwa jiji enzi kuna viwanda na watu wengi sana walienda kule kufanya kazi viwandani lakn viwanda vilivokufa na tanga pakafa kilichopo sahv ni magofu japo utawala wa huyu mbunge wa sasa ameanza kupabadilisha
 
Mwanga hii hii au nyingine?
 
Mwanga haijawahi pewa hadhi hiyo.
haijawahi kivipi wakati ina hadhi ya mji mdogo na najiuliza mji mdogo kwa lipi hasa..,.... sikatai haina hiyo hadhi ila mamlaka husika zinatambua mwanga ina hadhi ya mji mdogo ila ukiangalia maendeleo mzunguko wa pesa makazi ya watu huduma za kijamii alooo utapagawa..... ni home ila dah sio mchezo upare mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…