Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
- Thread starter
- #121
Dah! Population haimake senseHizo zote ulizotaja ni makao makuu ya mikoa. Ni suala la kisera makao makuu ya Mkoa kuwa Manispaa. Hata Kibaha na Njombe zitapata hadhi hiyo siku za karibuni.
Aidha kimiundombinu ya pale mjini Tabora na Kigoma Ujiji huwezi kubeza. Kwa area na population Tabora na Shinyanga huwezi kuziondoa.
Lakini pia kama Tunduru, Korogwe, Mbinga, Babati ni Town Councils, hizo Manispaa zilizopo hapo haziwezi kuwa kundi moja na Town Councils.