Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

Kama AIDS ni fake hata mimi sitakiwi kuwepo. Akitaka kuamini aende kwenye madanguro pale Mwananyamala achukue wawili watatu apige kavu kavu ndio atajua AIDS ni fake au real.
Yaaani🤓🤓🤓
 
Virus wote dunian km sio kuna kinga basi kuna njia ya kuwaondoa ....mfano hepatitis,covid,hepazoster n.k


Lakini ukimwi wanadelay chajo kwa sababu kuna kitu kinapatikana
Especially Africa tunamtegemea USA 100% katika huduma hii
soma tabia za kundi la hawa virusi afu ndo uje
 
Yaani waue raia wao zaidi ya 3,000 ili wapate sababu ya kumuua huyo mtu mmoja?
Naamini wanasiasa hawajali raia wao ila wanajali 'wa kwao' inaweza kuwa familia, ndugu, kabila, imani, au kundi flani la jamii.

Fatilia 'Military-industrial complex' uelewe kwamba vita zote na matumizi yote ya silaha duniani ni swala la kibiashara.

biashara ni kulenga faida iwe ni madawa ya kulevya, bidhaa fake or whatever you name it!
 
Naomba code za free data kwa Tigo au airtel au vodacom nimechoka kununua bando,njoo DM
 
Kwann kwa ukimwi tuu na sio magonjwa pandemic mengine

Ukweli kwamba huu ugonjwa ni man made na faida kubwa wanapata kupitia developing countries km misaada mfano USAID,UKAID,TWAWEZA...
Another conspiracy theory
 
Umechanganya..kuna vitu umeviweka hapo siyo nadharia..mfano Meditation na Yoga..hivi vipo kwa uhalisia wake na watu wanavifanya..
 
Wewe umejuaje huo unaoujua ndio ukweli na wengine hawaujui??
 
The birthday of Jesus Christ, haijawahi kuelezwa popote Yesu alizaliwa siku gani.
... la muhimu zaidi ni kwamba alizaliwa;wako wengi sana siku zao za kuzaliwa hazijulikani. Ungeeleza kufa na kufufuka kwake au kupaa kwake that could be a miracle; ila siku ya kuzaliwa kutojulikana na wanadamu; that's very normal.
 
Kama AIDS ni fake hata mimi sitakiwi kuwepo. Akitaka kuamini aende kwenye madanguro pale Mwananyamala achukue wawili watatu apige kavu kavu ndio atajua AIDS ni fake au real.
Yaani we unapambana na dude heavy halafu mwehu tu aje aseme unapambana na upepo simply because hajui unachopambana nacho 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…