Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
😀😀😀. Hizo silaha mbona ni hatari hata mtumiaji mwenyewe!
 
Thank you na matokeo ni mpaka ziote au ukishafukia tu inatosha?
Ziote mkuu ila kama unahitaji ya haraka inafanya kazi mara tu baada ya kuiweka hii ina bidi niichre .
Inazuia moto wizi,wanga ,hata kama yumo humo ataondoka mkuu
 
Sasa mimi na subwoofer ya seapiano na inch 32 ya aborder nipoteze muda kuchemsha mafuta hapana.

Na kama you have more fanya mpango ununue bastola hata ya laki 6
 
  • Thanks
Reactions: apk
Back
Top Bottom