Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
- #41
Yes but hii sio kila mtu anaweza kuuziwa na serikaliMuhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes but hii sio kila mtu anaweza kuuziwa na serikaliMuhimu sana
Maduka ya dawaza asili hivi ni viungo vya chakulaKweli? Zinapatikana wapi?
Kaka maji ya upupu yanamzuia vizuri sanaKibaka anaweza zuiliwa kwa njia za kitechologia au za Kiimani tu zingine ni bahati nasibu.
Kibaka ni roho na sio mwili.
Kwenye maduka ya viungo vya chakula mkuuKweli? Zinapatikana wapi?
Okay sawa I will do thatMaduka ya dawaza asili hivi ni viungo vya chakula
Ni kweli lakini ukikidhi vigezo tu mzigo unamilkiYes but hii sio kila mtu anaweza kuuziwa na serikali
😀😀😀. Hizo silaha mbona ni hatari hata mtumiaji mwenyewe!1. Mafuta ya kula :
Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.
Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.
2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.
Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.
Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.
3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.
Weka na wewe orodha zako
The devil should not be treated gently😃, Duuu wee jamaa katili sanaa aiseee
Silaha yoyote ni hatari kwa kila mtu ndio maana ikaitwa silaha😀😀😀. Hizo silaha mbona ni hatari hata mtumiaji mwenyewe!
Ok. Do it BOSS U I'll enjoyOkay sawa I will do that
Hapo kwenye Yas ndio pazuri, kubabake 😀Hapo kwenye mafuta nimecheka sana,ukiua mtu kama wewe si mtu wa kuua ,nafsi Yako haitakaa itulie kamwe, nashauri huyo kibaka amwagiwe mguuni au kwenye tako
Thank you na matokeo ni mpaka ziote au ukishafukia tu inatosha?Ok. Do it BOSS U I'll enjoy
Ukiwamwagia ndoo ya upupu itafanya wonder sana kwenye yasHapo kwenye Yas ndio pazuri, kubabake 😀
Ziote mkuu ila kama unahitaji ya haraka inafanya kazi mara tu baada ya kuiweka hii ina bidi niichre .Thank you na matokeo ni mpaka ziote au ukishafukia tu inatosha?
Tatizo anaweza kuwa ni mwizi asieyejifunza.Hapo kwenye mafuta nimecheka sana,ukiua mtu kama wewe si mtu wa kuua ,nafsi Yako haitakaa itulie kamwe, nashauri huyo kibaka amwagiwe mguuni au kwenye tako
Halafu watakuja wenzao na ndoo nyingine ya upuupu hunaUkiwamwagia ndoo ya upupu itafanya wonder sana kwenye yas
Sasa si utaozea gerezani? Ndo nini sasaWanaweza kufa hapo hapo wote