Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Kenge halisi ni wewe.We km hujalewa basi ni mwehu, RPC anateuliwa na rais? Umeweka list ulitaka wateuliwe ndugu zako? We kweli ni kenge mwenye chuki za kipuuzi
umemuweka mpaka RPC duuuh,kiazi kweli weweKaribuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.
1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
Kwani IGP anateua kwa niaba ya nani!! Pimbi Kweli Weweumemuweka mpaka RPC duuuh,kiazi kweli wewe
RPC anateuliwa na IGP kwa niaba ya Amri Jeshi mkuu ambaye ni Maza.We km hujalewa basi ni mwehu, RPC anateuliwa na rais? Umeweka list ulitaka wateuliwe ndugu zako? We kweli ni kenge mwenye chuki za kipuuzi
Wezi Wale waleGavana ana shida gani? Au wivu wenu tu nyie wadada
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪Hakuna kitu pale...ni Mwinyi toleo la 2C
Shida ilianzia hapo hapoKwan boss wao yeye unamuona ni competent?
Mkuu RPC ni mteuliwa wa Rais kwa mujibu wa Kile kitabu cha mwaka 1977umemuweka mpaka RPC duuuh,kiazi kweli wewe
100%Mwanamke hafai kuwa kiongozi
Yupoooo....tena anajazia tuHivi wizara ya ardhi ina Waziri?
Huyu analazimisha weka watu wasio na uwezo ili adhima yake ya 50/50 itimie.100%
Anayewatua ndiye anawap dira anavyotaka kazi ifanyike. Huenda aliowateua kutokana na malengo aliyowapa anaona wanakwenda vizuri.Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.
1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Ongezea hapo na Wewe ——-
Alimuondoa Lukuvi, akamuweka kiazi mmoja ambaye alikopata PhD sijajua ni university gani ilimpatiaYupoooo....tena anajazia tu
Ameingia tu benki kuu akiba yetu ya pesa za kigeni imeshuka kutoka 5.5trn hadi 4.0 trn. Na bado itashuka sana tu kama ufisadi hautadhibitiwa.Wezi Wale wale
Ni nani atadhibiti ufisadi Muda huu Tanzania??Ameingia tu benki kuu akiba yetu ya pesa za kigeni imeshuka kutoka 5.5trn hadi 4.0 trn. Na bado itashuka sana tu kama ufisadi hautadhibitiwa.
Dar😂, Huyo mama Hata utendaji wa Kata hawezi mkuuTabora ya Mwanri ilipendeza sana
Mheshimiwa raisi tunamuhitaji Mwanri tabora, huyu mama mpeleke hata Dar kama una mpenda...
Mkuu wa mkoa wa Tabora + DC wa Nzega = ??????Tabora ya Mwanri ilipendeza sana
Mheshimiwa raisi tunamuhitaji Mwanri tabora, huyu mama mpeleke hata Dar kama una mpenda...
Msimlaumu halima..kila mtu aliyerudishwa na hii serikali ya JK amewekwa ili apige. Kwani ni nini kazi ya vick kamata? Au anthony diallo? Au Hawa Ghasia?au amos makalla?Hapo Namba moja umepatia kabisa! huyu Halima Dendego ni Zero kabisa. Uwezo wake wa kiuongozi ni Mdogo sana kuchwa kutwa ni kutengeneza madili yake ambayo hayazingatii Procurement na Financial controls hivyo kuwapa wakati mgumu watendaji kwani yatakuwa chanzo Cha hoja za ukaguzi.Sishangai kumbe ndo maana mwendazake alimpiga chini u- RC huyu mama alipokuwa RC Mtwara