Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kyerwa? Na anatropia theonest naye kapelekwa wapi? Au umechabga mafile?
Anatropia alikuwa mbunge wa viti maalum jimbo la segerea na safari hii amegombea huko kyerwa na kashinda mwenye kura za maoni.
Nahisi hamfatilii chama, bali mnafatilia ushabiki tu
Anatropia alikuwa mbunge wa viti maalum jimbo la segerea na safari hii amegombea huko kyerwa na kashinda mwenye kura za maoni.
Nahisi hamfatilii chama, bali mnafatilia ushabiki tu
Huyu amepelekwa Kyerwa maana kula kulikosa mtu imara una lingine?