Uchaguzi 2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

Kyerwa? Na anatropia theonest naye kapelekwa wapi? Au umechabga mafile?
Anatropia alikuwa mbunge wa viti maalum jimbo la segerea na safari hii amegombea huko kyerwa na kashinda mwenye kura za maoni.
Nahisi hamfatilii chama, bali mnafatilia ushabiki tu
Huyu amepelekwa Kyerwa maana kula kulikosa mtu imara una lingine?
 
Naona safari hii udhibiti wa wahamiaji haramu unatamalaki,labda ccm ikiwakata wayaenda nccr
 
Tena watakata wengi tuu kwa SABABU sio Kama CDM Dada Kama huyu mpambanaji anae kubalika na wengi mnamuangusha Bila sababu, harafu mnaimba mtaiangusha CCM
Kwanza usinichoshe siku nyingine usiwe unafaanisha CHAMA na UKOO WA WATU
Pole! Dada punguza stress!
 
Atakuwa viti maalum msihofu.

..hata mimi nitawalaumu kama watamtosa kwenye viti maalum.

..huyu dada amepigana kwelikweli ktk masuala ya kueneza chama kila pembe ya nchi.

..pia ukiangalia Mrema amekuwa makao makuu kwa muda mrefu ni vizuri akapewa nafasi ya kugombea ubunge.

..Na kuna tetesi kwamba Mrema alizuiwa na Dr.Slaa kugombea ubunge ili awe msaidizi wa kampeni. Uchaguzi uliofuata akapewa jukumu la kumsaidia Lowassa.

..pia jimbo la nyumbani kwao Mrema lina mwanamama mwingine wa CDM ambaye anagombea kule.

..kwa hiyo, nadhani ni sahihi kumpeleka Mrema kuwa mgombea Segerea, na Agnes Lambert apewe nafasi ya viti maalum.
 
..hata mimi nitawalaumu kama watamtosa kwenye viti maalum.

..huyu dada amepigana kwelikweli ktk masuala ya kueneza chama kila pembe ya nchi.

..pia ukiangalia Mrema amekuwa makao makuu kwa muda mrefu ni vizuri akapewa nafasi ya kugombea ubunge.

..Na kuna tetesi kwamba Mrema alizuiwa na Dr.Slaa kugombea ubunge ili awe msaidizi wa kampeni. Uchaguzi uliofuata akapewa jukumu la kumsaidia Lowassa.

..pia jimbo la nyumbani kwao Mrema lina mwanamama mwingine wa CDM ambaye anagombea kule.

..kwa hiyo, nadhani ni sahihi kumpeleka Mrema kuwa mgombea Segerea, na Agnes Lambert apewe nafasi ya viti maalum.
Mrema aligombea moshi sikumbuki jimbo gani ila alishindwa
 
Mwaka huu hakutakuwepo na mpasuko mkubwa ndani ya CCM utokanao na majeraha ya kura za maoni kwa maana mtu akikatwa na ngazi za juu hata kama alikuwa anaongoza kura za wajumbe hana pa kuhamia kwenda kugombea nafasi hiyo.

Ni hakuna kutangatanga una-chill au unahamia huko kuwa mpenzi mtazamaji.
ACT wazalendo milango iko wazi.......Ntimizi wa Igalula Tabora ameshabisha hodi!
 
..hata mimi nitawalaumu kama watamtosa kwenye viti maalum.

..huyu dada amepigana kwelikweli ktk masuala ya kueneza chama kila pembe ya nchi.

..pia ukiangalia Mrema amekuwa makao makuu kwa muda mrefu ni vizuri akapewa nafasi ya kugombea ubunge.

..Na kuna tetesi kwamba Mrema alizuiwa na Dr.Slaa kugombea ubunge ili awe msaidizi wa kampeni. Uchaguzi uliofuata akapewa jukumu la kumsaidia Lowassa.

..pia jimbo la nyumbani kwao Mrema lina mwanamama mwingine wa CDM ambaye anagombea kule.

..kwa hiyo, nadhani ni sahihi kumpeleka Mrema kuwa mgombea Segerea, na Agnes Lambert apewe nafasi ya viti maalum.
Bwashee wewe unatafuta huruma badala ya ushindi.

Pale segerea Julius Mtatiro alipalaani mtaendelea kupoteana huku Bona akipeta kiulaini kabisa!
 
angekuwa anataka viti maalum asinge gombea level hiyo. ni upumbavu kutetea ujinga na uhuni huu. Na aliyeshinda viti maalum naye atapewa nini?
so kumbe wanapeana na sio kuchaguliwa?
Subirini mjeredi wa ccm
 
Mwaka huu hakutakuwepo na mpasuko mkubwa ndani ya CCM utokanao na majeraha ya kura za maoni kwa maana mtu akikatwa na ngazi za juu hata kama alikuwa anaongoza kura za wajumbe hana pa kuhamia kwenda kugombea nafasi hiyo.

Ni hakuna kutangatanga una-chill au unahamia huko kuwa mpenzi mtazamaji.
Kwa orodha hii ya wagimbea wa chadema, ccm sherehe tayari, tena majimbo 101 mmeshindwa kujaxi halafu mnatuaminisha kuchukua dola. Guys be serious please!!!!!!
 
Kwa orodha hii ya wagimbea wa chadema, ccm sherehe tayari, tena majimbo 101 mmeshindwa kujaxi halafu mnatuaminisha kuchukua dola. Guys be serious please!!!!!!

Watu wanaojua siasa huwa hawachagui watu huchaguwa vyama kama hujui ni kwa nn uliza
 
CCM wameanza kuwakupigia wagombea wa chadema na kuwarubuni waunge juhudi, siku 5 tu Mara baada ya kamoeni kuanza wahombea watatu watauza utu wao kwa ccm
 
..hata mimi nitawalaumu kama watamtosa kwenye viti maalum.

..huyu dada amepigana kwelikweli ktk masuala ya kueneza chama kila pembe ya nchi.

..pia ukiangalia Mrema amekuwa makao makuu kwa muda mrefu ni vizuri akapewa nafasi ya kugombea ubunge.

..Na kuna tetesi kwamba Mrema alizuiwa na Dr.Slaa kugombea ubunge ili awe msaidizi wa kampeni. Uchaguzi uliofuata akapewa jukumu la kumsaidia Lowassa.

..pia jimbo la nyumbani kwao Mrema lina mwanamama mwingine wa CDM ambaye anagombea kule.

..kwa hiyo, nadhani ni sahihi kumpeleka Mrema kuwa mgombea Segerea, na Agnes Lambert apewe nafasi ya viti maalum.
Halafu Mrema na Agnesta wote ni wajumbe wa kamati kuu sasa haiwezekani atoswe bila kuwepo mazungumzo
 
Mimi ni mkongwe wa Segerea huyo Mrema hamna kitu hapo hata kujieleza kwenyewe hajui wala hana convicing power,Mbowe amemng'ang'ania lkn hamna kitu pale unless unataka kuleta story za ukereketwa wa kikuda wa kukubaliana kila ujinga wanaofanya wakina Mbowe ambapo hapo unakua hauna tofauti yoyote ile na CCM kwa kushindwa kua mkweli kisa tu mwenyekiti amesema.
Una mihemko na mapovu sana, wakongwe wa kweli hawana hizo sifa.
 
Idadi ya majimbo ya Tanzania ni 264. Chadema ina weka wagonbea kwenye majimbo 163 tu.

Chama kimeshindwa kuweka wagombea kwenye majimbo 101. Pengo hili lisaidie kuwaonesha ukweli, Chadema na wafuasi wake, kuwa hawawezi hata kidogo kubeza ushirikiano na vyama vingine. Watapata nguvu iwapo watashirikiana na wenzao. Vinginevyo wasahau hata kujiita chama Kikuu cha Upinzani.

Hata kwenye majimbo mengine wameweka wagonbea poyoyo. Huyo mgombea wa Bukoba Vijijini ni poyoyo na corrupt. CCM wanaweza kumhonga wakati wowote wakiona anakuwa tatizo kwenye anga zao. Jimbo la Segerea wamekosea kumuengua mgombea youthful and popular aliyeshinda kura za maoni.

Ninawashauri wajitathimini upya. Wapitie upya malengo yao kwa vipaumbele, kwa kuzingatia variables za idadi ya halmashauri (madiwani), ruzuku baada ya uchaguzi, ushindi wa kiti cha Urais na kadhalika. Watofautishe ambitions na objectives. Watumie sayansi badala ya hisia, wawe wakweli (candid) kunapokuja suala la kushirikiana na vyama vingine kama ACT Wazalendo. Waache tabia za ujanja-ujanja (tabia za kichuuzi - market speculative/entrepreneurial thinking).

Bado Wana muda wa kufanya marekebisho.
Wameshasema hayo majina ni awamu ya kwanza, hayo uliyoandika yanaonesha hauna correct information.
 
Back
Top Bottom