Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

Muna wivu sana mtaaendelea kushiba dona hivyo hivyo acheni wivu
Mie nina wivu wa nini bro. Ama ume quote post yngukimakosa kwa kutoju matumizi ya jukwaa! Nilikuwa namfafanulia aliyetaka kujua huyo DC alipo. By the way dona ni chakula pendwa sana. Pole
 
Nilikuwepo ilikuwa aibu
 
Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Mbona hamkusema ama kutoa vielelezo tanguu alipoonekanaa ku.....Hadi Leo ndo mwanong'onaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…