Jamani kumbe nae kashushwaTuishibishe list.Yule aliempiga mwanafunzi kabaki?
Mimi naongezea Siael Mchembe. Huyu alikuwa na kiherehere sana .Sasa arudi IFM akafundishe.
Na actually hiyo ndo habariTuliomba majina ya walioachwa lakini uzi ukatupwa
Makeke yalizidi2) Jerry Muro
Kumbe mwalimu; kama aliwaaga wenzake kwaheri ya kuonana atajua hajuiTuishibishe list.Yule aliempiga mwanafunzi kabaki?
Mimi naongezea Siael Mchembe. Huyu alikuwa na kiherehere sana .Sasa arudi IFM akafundishe.
Jerry Muro - Wahuni wa mwendazake! ana bahati kubaki hadi leo!1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Je Mtatiro?Tayari nae Jua limeshakuwa Kali Kwake.
We Nakadori wewee..!!!Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Huyo alishakuwa mwalimu wa chuo.
Yule wa kulialia?Naomba kujua kuhusu Peter Lijua Likali
Basila Mwanukuzi hakuwa na haiba ya ukuu wa Wilaya Basi tu.
Akusikie CountrywideKama Nick wa Mitego
Wawili tu ??1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Mwaipaya karudi radio one na J Muro karudi Yanga
Rombo na Mwanga hawakuguswa..Kama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.
Huyo amebaki kitengo cha porojo za elfu 7 , mtu kaweka hadi namba za simu lakini hakumbukwi tu kwanini ?Vipi ndugu yetu Mwanshambwa kateuliwa? maana viatu vinakaribia kwisha sasa
Si unataka kuzurura na JerryNini tena mkuu
Aje tu mtaan hakujaiiSi unataka kuzurura na Jerry