Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Kwa kanumba nitakupinga kidogo maana alikuwa ameshanunua kiwanja na biashara yake ndyo ilikuwa imeanza kuinuka na umri wake ilikuw kuwazia biashara zaidi na kujijenga kiuchumi ni vile hakuwa na mtoto wala familia kifo kilimuwahi kuchukua uhai wake kwaiyo hakuna kibaya
 
Kama kuweka soda kwenye friji unashindwa utaweza kuweka hela bank
 
Haipondishi ukweli kuwa hakujenga,
 
Wahindi wanamiliki Ucanada,Ukenya,Uingereza na huko ndipo mali zao zilipo na wanazilipia kodi kwa pesa wanazoiba Tanzania.
 
Wakati itakapoendelea tuendelee kuheshimiana.
 
Haipondishi ukweli kuwa hakujenga,
Umuhimu wa kujenga unakuja kwa sababu nyingi ni kama Leo kijana wa miaka 30 umwambie ajenge labda ndyo anaanza kazi au ndyo biashara yake ameianzaa itakuwa ni ubinafsi wa mawazo sana na ujinga wa elimu tunazopata mashuleni kama Leo hii kanumba angekuwepo angekuwa na umaarufu kama diamond na pesa nyingi ata nyumba ingekuwa si ishu kwake unamlaumu kijana wa miak 28 kukosa nyumba uko sawa kichwani kweli au wazimu wa fikra unawasumbua
 
Ray Kigosi kafa lini
 
Lile VX la milioni 80 limemponza,angekuwa ba rav 4 tu asingeingia kwenye list
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…