OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hana nyumba huyoBasi wakifa wakazikwe huko unakokuongelea. Tunaongelea mambo ya Tz sio, huko. Si mpaka tufanane nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana nyumba huyoBasi wakifa wakazikwe huko unakokuongelea. Tunaongelea mambo ya Tz sio, huko. Si mpaka tufanane nao
Anaishi porini auHana nyumba huyo
@mdukuzi hadanganyi ...ni kweli yuko kwa maza ake sinza moriNi kweli anakaa kwa Mam yake au wanamsagia kunguni? Mtamfanya zile milioni 40 alizopewa na Dr Abbas akanunue kiwanja na asi-invest kwenye movie.
Anaishi kwenye nyumba ya mama yake. Wewe unadhani hiyo nyumba yako utaishi humo milele?Anatakiwa ajenge, aache mchexo 😎
Ajichomoe mwenyewe kwenye hiyo list 😃😃😃😃😃
Kumbe wewe ndio Ray 😅😅😅Anaishi kwenye nyumba ya mama yake. Wewe unadhani hiyo nyumba yako utaishi humo milele?
Yule demu msenge sana....sasa hivi analilia simu eti valentine[emoji848][emoji848]Huyu Mshenzi alijua kuvuruga watu na kipindi chake cha Zamaradi take One ,yaani alinipagawisha kumiliki mjengo wa maana ,gari 4(Q7,Mark X,Murano,Harrier Pink Tako la nyani),Kampuni Kubwa Ya Film halafu kaweka Macntosh za milioni 4 hadi kwa receptionist na ndani kwake kaweka furniture za milioni 50 halafu mimi sina hata kiwanja cha miguu 10 kwa 10.
Kumbe msanii ni msanii alikuwa anafanya acting haha ha hahahaa labda sasa hivi wozu too much money kwa tag la mkinga break price anaweza akamjengea hata kibanda cha vyumba viwili.
Halafu alikuwa na madeni si kitoto[emoji848]Marehemu Kanumba mama yake alimsumbua sana wakili wa Kanumba akidhani kuna mamilioni.Wakili akamtonya kuwa benki ana elfu ishirini,gari ni la mkopo,kitu halali anachomiliki ni mashamba mawili.
Siyo Ray ila na mimi naishi kwenye nyumba ya mzazi wanguKumbe wewe ndio Ray 😅😅😅
Swali la kijingaAnaishi porini au
We ndio mjingaSwali la kijinga
Hivi kisura unaishi sinza? Nakufuatilia si kwa ubaya ujue@mdukuzi hadanganyi ...ni kweli yuko kwa maza ake sinza mori
Namba mbili najua alikuwa na nyumba USA, sijui hiyo unaihesabu au la. Namba moja si wanajengewa hawa, na nafikiri ndio kilichotokea.1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
Mcgarab ana nyumba kali7. McGarab (yupo hai)
8. Semaji la Klabu (yupo hai)
9. McPilipili (yupo hai)
10. Stiv Ake
Anayoishi Sasa Kapanga. Ndo ameanza ujenzi YomboMcgarab ana nyumba kali
Sasa hivi anamiliki church na kondoo wakeKaoa. Na u-MC haumlipi siku Hz kafunikwa sana
Sio kosa, ila kama una pesa tunaziona zikimwagika, jenga, nchi yetu bado inaitaji iwe na mijengo ya nguvu. Kama inashindwa nyie jengeniSiyo Ray ila na mimi naishi kwenye nyumba ya mzazi wangu
Alikuwa anamiliki tako. Nalo lilitoweka7. Wema Sepenga
Ujana maji ya moto shenzeee
For sure....tena kidogo yule alikuwa na akiliIla tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Saa 12 hii amka usaidie kuosha vyombo dada zakoWe ndio mjinga