Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Where is the lie??Duuuhhh huu uzi naona kamati ya roho mbaya wapo online usiku wa manane wameuvalia njuga...
Yaani hapa tukiamka asubuhi mzee Mushi ameshatajwa kwamba hana hata kibanda...
Jamani kamati ya roho mbaya ikiongozwa na (Sharamdala , King Kong III ,Juma1967 ,Pastor P , mdukuzi punguzeni makali mwaka wenyewe mchanga huu tutapeana stress bure.....
Spare my dad bro.... Mzee Mushi... hahahahaaa🤣🤣🤣🤣🤣Where is the lie??
[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee unapiga mishono1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
🤣🤣🤣🤣🤣 Dahhh lisemwalo lipoSpare my dad bro.... Mzee Mushi... hahahahaaa
Unajenga Ili waishi wengine.Duniani ni kama stendi tu
Unajenga stendi ili iweje wakati tunapita tu
GaraB nyumba ni yake. Mfute hapo7. McGarab (yupo hai)
8. Semaji la Klabu (yupo hai)
9. McPilipili (yupo hai)
10. Stiv Ake
Number nne imenichekesha1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
[emoji19][emoji19][emoji19]Unajenga Ili waishi wengine.
Unapata vidonda vya tumbo KWA kujinyima ukiondoka matoto huja kuchezea tu
GENTA hivi wewe umejenga hata kakibanda?Huu Uzi wako ungenoga zaidi baada ya kumaliza Kuwananga na Kuwacheka Wenzako na Wewe hapo chini ungetuwekea idadi ya Nyumba zako unazozimiliki na alizojenga Baba yako Mzazi.
Otherwise unaonekana ni Mswahili, mpenda Majungu, una Chuki Binafsi, mwenye Wivu na Ujuha mwingi Kichwani mwako.
Sio kwamba ili ujenge lazima uwe na hela,kuna wahindi kibao hapa nchini hawajajenga na wana mihela,kama uliwatch mazishi yake kule pemba ungrona nyumba yake ya pemba ungeshangaa,kujenga ni hobby tuHapo kwa Makamu wa Rais pana utata kidogo.
Kwa taarifa yako Dr ni mmiliki wa kiwanda cha Kagera Sugar (Majority shareholder)
Huku Nkapa akijimilikisha Mtibwa Sugar kupitia mipango yao haramu ya ubinafishishaji.
Sasa kumiliki kiwanda au kujenga nyumba lipi kubwa ?.
Kumbuka hivi viwanda vipo hadi kesho familia zao zinajichotea mihela bwerere.
13. Mrangi (yupo hai).Duh....huu uzi unatuhusu wengine humu jf
Ova
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
Ray ajenge, huoni mkuki ulivyorengeshwaLengo lako ni nini?
Siyo lazima kila mtu ajenge nyumba. Wengine watabaki wapangaji maisha yao yoteHao watoa mapovu umri umekata hawana hata kibanda cha chumba kimoja,ngoja siku wakate moto watoto wao watakavyogalagala msibani wakiwaza kodi
Anatakiwa ajenge, aache mchexo 😎Ray kigosi anahusika vipi hapo? [emoji23][emoji23]
Basi wakifa wakazikwe huko unakokuongelea. Tunaongelea mambo ya Tz sio, huko. Si mpaka tufanane naoSiyo lazima kila mtu ajenge nyumba. Wengine watabaki wapangaji maisha yao yote
Hivi miji kama Tokyo, new York watu wanawaza kujenga kweli?