Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

7. Wema Sepenga
Ujana maji ya moto shenzeee

Huyu Mshenzi alijua kuvuruga watu na kipindi chake cha Zamaradi take One ,yaani alinipagawisha kumiliki mjengo wa maana ,gari 4(Q7,Mark X,Murano,Harrier Pink Tako la nyani),Kampuni Kubwa Ya Film halafu kaweka Macntosh za milioni 4 hadi kwa receptionist na ndani kwake kaweka furniture za milioni 50 halafu mimi sina hata kiwanja cha miguu 10 kwa 10.

Kumbe msanii ni msanii alikuwa anafanya acting haha ha hahahaa labda sasa hivi wozu too much money kwa tag la mkinga break price anaweza akamjengea hata kibanda cha vyumba viwili.
 
Marehemu Kanumba mama yake alimsumbua sana wakili wa Kanumba akidhani kuna mamilioni.Wakili akamtonya kuwa benki ana elfu ishirini,gari ni la mkopo,kitu halali anachomiliki ni mashamba mawili.

Nakumbuka alikuwa na ndinga kama tatu hivi moja mark ii grabde nyeupe ,prado na kihiace cha kampuni yake ya The Great Movie.....Hivi aliacha mashamba kweli huyu?
 
Huyu Mshenzi alijua kuvuruga watu na kipindi chake cha Zamaradi take One ,yaani alinipagawisha kumiliki mjengo wa maana ,gari 4(Q7,Mark X,Murano,Harrier Pink Tako la nyani),Kampuni Kubwa Ya Film halafu kaweka Macntosh za milioni 4 hadi kwa receptionist na ndani kwake kaweka furniture za milioni 50 halafu mimi sina hata kiwanja cha miguu 10 kwa 10.

Kumbe msanii ni msanii alikuwa anafanya acting haha ha hahahaa labda sasa hivi wozu too much money kwa tag la mkinga break price anaweza akamjengea hata kibanda cha vyumba viwili.
Huyu hana akili, hakuna kitu kilikuwa kinanikera wasichana wazi wakitamka huyu ni Role model wao.. haiigii akilini asee, afadhari now wamepunguza kama sio kuacha kabisa.
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

Itaendelea
Huyu wa mwisho atakufa lini ?
 
Na msijenge karibu na makanisa ya kilokole,Ni KERO

Nahisi leo nakesha,jirani kuna kanisa wamefungulia dundo si la kitoto na wanafuatisha kuimba,
Hii Nchi tunavumiliana, baada ya midundo ya kikristo baadaye hapohapo utasikia alaaaaaaaskbaaaaralaaaakbarrrrrrrrt na vitisho vya sanda nayo tunaivumilia.
 
Lazima ujiangalie na kumuuliza Mungu ulipokosea.
Kumbe wenzio wana act🤣🤣🤣

Aiseee baada ya kuangalia kile kipindi nilijiona TUTUSA sana maana watu wana mijengo ya milioni 400 ,ndiga zipo uwani 4 ,kampuni kubwa tu ya Film ambayo inamwingizia pesa by then nikijicheck sina hata kiwanja cha 10 kwa 10.......Daaaah At the end kumbe alikuwa location anafanya acting.
 
Back
Top Bottom