kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kweli walisahau kuwa kuna mahitaji matatu ya binadamu ikiwemo nyumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww ni muislamu sasa [emoji58][emoji1787]Na msijenge karibu na makanisa ya kilokole,Ni KERO
Nahisi leo nakesha,jirani kuna kanisa wamefungulia dundo si la kitoto na wanafuatisha kuimba,
baada ya hapo ni juu Kwa juu,khaaHakuna haja tutaagia kanisani
Anajua bana[emoji2][emoji2][emoji38]....ile nyumba ya maza ake huwa anaifanyia refurbish kila uchwao[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna mjungu sana eti "hajui mfuko wa cement unatoa tofari ngapi" Looh [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kero kiujumla kwa jamii,usiku ni muda wa kupata utulivu lkn wenzio wamewasha maspika wanacheza na kupiga mayowe[emoji23]Na ww ni muislamu sasa [emoji58][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kupaki gari kwenye nyumba aliyojenga mwanaume mwingine ni utovu wa nidhamu
Kwani alirudi toka Marekani?[emoji23] Niliambiwa alipelekwa akagoma kurudi bongo na sasa ni Mtangazaji[emoji23] mzee amekaa kitapeli sana hua nacheka nikiona sura yake!Ana kibanda chake Kigogo Randa bar
Still yupo Marekani ila hiko kibanda anacho kabla hata ya kwenda huko kwa BidenKwani alirudi toka Marekani?[emoji23] Niliambiwa alipelekwa akagoma kurudi bongo na sasa ni Mtangazaji[emoji23] mzee amekaa kitapeli sana hua nacheka nikiona sura yake!
Yule mzee anaishi USA, niliwahi kukutana nae Ndege moja, mm nafika Ethiopia yy anaruka USA, nasikia anaishi kwa mtoto wake.Mr. Magari (wacha maneno yako weweee) atakuwa na nyumba kweli yule.maana nasikia ni mtu wa totoz sana
7. Wema Sepenga1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea