Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Mtoe Ray Kigosi kwenye list.... Yeye hahusiki ana nafasi ya kujenga. Au anzisha Uzi mwingine wa watu maarufu wanaopata hela nzuri lakini hawajajenga
Mwenyewe yupo humu na amekuwa mkali kweli alipoliona jina lake,,unamiliki ndinga BWM Ya milioni 500 halafu unajibana na Mzee wako kwenye nyumba moja huo Ni ufala sisi sio Wahindi,,, Tunampa challenge ajenge aache udwanzi
 

Hawakujua kupamba dinia
 
Mkwafano hao viongozi, maisha yao yote ya uongozi walikuwa wanaishi kwenye nyumba za hadhi za serikali, wajenge ili iweje? Usikute waliacha vibunda vya kutosha kwa wanafamilia wao ili waamue wenyewe.
Mbaya ikukute umefariki ukiwa kwenye nyumba ya kupanga mtaani😀🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…