Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Astakhafirullah x 3Sasa km Hana nyumba licha ya kuwa maarufu anatofauti gani na wafu,,
Kwani ameenda wapi? Gentamicin si yupo?7. GENTAMYCIME
hajaacha hata kibanda jf
Bora nawe umesema,binadamu ana kiburi sasa unajua....tunajisahau sanaMtoe Ray Kigosi kwenye list.... Yeye hahusiki ana nafasi ya kujenga. Au anzisha Uzi mwingine wa watu maarufu wanaopata hela nzuri lakini hawajajenga
Unakaa wapi?Ray Kigosi kafa lini
Kumbe hii ni kweli, kupanga ni kuchaguaYaan nimetoka kukutana na Ray sasa hivi hapo kwa maza ake Mori...nimecheka sana baada ya kuuona huu uzi
Mwenyewe yupo humu na amekuwa mkali kweli alipoliona jina lake,,unamiliki ndinga BWM Ya milioni 500 halafu unajibana na Mzee wako kwenye nyumba moja huo Ni ufala sisi sio Wahindi,,, Tunampa challenge ajenge aache udwanziMtoe Ray Kigosi kwenye list.... Yeye hahusiki ana nafasi ya kujenga. Au anzisha Uzi mwingine wa watu maarufu wanaopata hela nzuri lakini hawajajenga
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
Point.Ila tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Mkwafano hao viongozi, maisha yao yote ya uongozi walikuwa wanaishi kwenye nyumba za hadhi za serikali, wajenge ili iweje? Usikute waliacha vibunda vya kutosha kwa wanafamilia wao ili waamue wenyewe.Kama kujenga ni uamuzi wa mtu kwa nini uwekwe kwenye orodha, yaani maamuzi yangu yanawahusu nini? Kwa nini uhangaike kujua kama sikujenga ama nilijenga?
Nadhani watu tuache maisha ya kiswahili ya kufuatiliana, ishi maisha yako, sikujenga ama nilijenga is non of your business.
Hakika umenena mkuu.Ila tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Sikai lakini muda huu nimesimama palee nyuma ya Mchambawima maeneo ya ChumbwiniUnakaa wapi?
Kwani pesa pekee haiwezi kuweka future nzuri ya watoto. Au mm ndiyo sielewi maana ya future!Haya maneno ya kimasikini ni ya kutupilia mbali maana ukiyafuatwa utakuwa kama ngombe tu kutwa kutafuta hela ya kula tu na si future ya watoto kuiangalia
Usha mtupa Ray sasaSinza nina mjengo kule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]