SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Ukiona hivyo jua nae ni miongoni mwa wasio miliki hata kibanda cha mabanzi.
Mbona povu[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona povu[emoji848]
Enzi zao hawakuwa na pensheni ya kiasi hicho, japo kuwa sio sababu ya kutokujenga.Ujinga TU unapewa pensheni ya 200m na bado unashinwa kujengea wanao nyumba ya 50m ...Duniani ulikuja kufanya nn
Watanzania bwana ubongo watu huwa unawaza sana kujenga ndo akili huwa haufikilii kuongeza Kipato ndo ujenge utakuta mtu anakwambia mimi nikipata milion kumi najenga vyumba vyangu viwili utafikili akijenga ndo tayali amemaliza tayali yani Anapesa ya muendelezo wa kiuchumi pesa kama iyo ukipata unatakiwa uiwekeze ili faida itayopatikana ndo uaenze kujenga kidogo kidogo na pia mtaji ukiendelea kwaiyo hii jambo kujenga kujenga tubadilike jamani asanteni but mtazamo wangu tu
Ungefanya evaluation ya mazuri na mapungufu yao pia,hata mwalimu nyerere mpaka anang'atuka alikua hana nyumba butiama, mpaka jeshi lilipoamua kumjengea,na ile ya msasani alikua bado anadaiwa na NBC,deni, Lakini mpaka mtoto wangu anamjua mwl Nyerere japo hakuwahi kumuona, because of his legacy [emoji1241]1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
Anae kakaake wanaparuana daily...sema kakaake chapombe, ana vurugu huyo acha
Huyu si nilisikia alikuwa na investiment ya Bar 120?ALBERT MANGWEHA..
Ngwair alikufa kidwanzi sana...
Hata wasipo aga, waache tu maana wewe unakua haupo pale,umewaachia mwili tuHakuna haja tutaagia kanisani
Umuhimu wa kujenga unakuja kwa sababu nyingi ni kama Leo kijana wa miaka 30 umwambie ajenge labda ndyo anaanza kazi au ndyo biashara yake ameianzaa itakuwa ni ubinafsi wa mawazo sana na ujinga wa elimu tunazopata mashuleni kama Leo hii kanumba angekuwepo angekuwa na umaarufu kama diamond na pesa nyingi ata nyumba ingekuwa si ishu kwake unamlaumu kijana wa miak 28 kukosa nyumba uko sawa kichwani kweli au wazimu wa fikra unawasumbua
Punguza makasiriko kijana [emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni mchawi wa kufukunyua na kupekenyua wasiojenga au kumiliki nyumba
Huyu anastahi kuingia kwenye list hapo juuMmemsahau Jasiri Muongoza Njia Ruge, mshikaji alikufa akiwa amepanga kwenye apartment ya chumba kimoja na sebule. Msiba ulifanyika kwa baba yake Prof. Mutahaba
Alikuwa anasaidia mademu kujenga yeye hakuwa hata na kiosk
Sio unyonge. Yaani niache kununua ndinga ninunue michanga? Mkijenga nyinyi inatosha.Hahahaha...naona unajifanya mnyonge humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Number 10 ana roof mbweni anaishi na mke mkubwa.Source ya habari mchepuko wake aliozaa nao mwananyamala.
Is just for temporary shelter, kabla hatujarudi tulikotoka [emoji137]Duniani ni kama stendi tu
Unajenga stendi ili iweje wakati tunapita tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]si nae maarufu, enzi hizo ITV ndiyo TV ya Nchi lazima umuone analamba rips, anaigiza maisha ya Joshua[emoji1241]Ray kigosi anahusika vipi hapo? [emoji23][emoji23]
Mmemsahau Jasiri Muongoza Njia Ruge, mshikaji alikufa akiwa amepanga kwenye apartment ya chumba kimoja na sebule. Msiba ulifanyika kwa baba yake Prof. Mutahaba
Alikuwa anasaidia mademu kujenga yeye hakuwa hata na kiosk
Afu maza ake ray yuko vizuri sana....unaijua ile bar/ na ni kituo white inn sinza kijiweni ukiwa unaelekea tandale? Hiyo bar iko opposite na alipokuwa anaishi kanumba, pale pia ni kwa mamaake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumeazimwa na kuna sharti kwenye HATI kwamba rais anaweza kubadili matumizi ya Ardhi yako bila taarifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mwisho wa umiliki ni miaka 99, inamaana wajukuu wetu watakuja kununua kiwanja changu [emoji137][emoji1787]Serikali kila siku inakuambia ardhi ni yake we kiherehere cha kuijengea unakitoa wapi
Nyerere kuna nyumba yake iko magomeni imegeuzwa makumbusho nyimba kali sana alijenga kabla ya uhuruUngefanya evaluation ya mazuri na mapungufu yao pia,hata mwalimu nyerere mpaka anang'atuka alikua hana nyumba butiama, mpaka jeshi lilipoamua kumjengea,na ile ya msasani alikua bado anadaiwa na NBC,deni, Lakini mpaka mtoto wangu anamjua mwl Nyerere japo hakuwahi kumuona, because of his legacy [emoji1241]
Lakini mzee Mengi kaacha kasri ameacha migogoro tu huku nyuma.
Under the sun everything is vanity [emoji137][emoji137]