Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Kinondoni nyumba ya familiaVipi TID?
Usitetee ujinga mkubwa..!!! Hapa wametajwa watu waliowahi kumiliki mihela..!! Majaliwa ni kwa hohehahe..!! Kama Gavana wa benki kuu bado unasema kujenga ni majaliwa, wa kupimwa wewe..!!Kujenga ni majaliwa ndugu yangu
Hata wajinga wanazeekaYupo Kinondoni nyumba ya familia
🤣🤣🤣🤣hukuwai ona akisema ahami kwao?
KWahi hiyo Miss Natafuta bado anatafuta hela ya kujengea?Nasoma mapovu.
mdukuzi piga spana hao wasopenda kujenga..
Ukiupdate list nitag, usisahau kuongezea na hawa members wanaotoa mapovu kama Miss Natafuta
Alikufa na 28 yrsIla tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Hili jibu la kimasta sanaHakuna haja tutaagia kanisani
Kwanza inakujae mwanaume unaishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio. Vijana mkaze mjengeUliwahi kuudhuria msiba wa marehemu aliyeacha mke na watoto kadhaa nyumba ya kupanga ukaona mke anavyogalagala kwa uchungu
Hili bumunda jamani bado linakaa kwa mama yake? Kazi ipo limeamua kuzeekea kwa mama? Aibuuuuuu!!Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Hapo ni kumlaumu bure.... 28 year mtu hutakiwi kulaumiwa kabisaAlikufa na 28 yrs
Kheeee..!!! Hili povu la omo linalozugumzia kaburi, wakati wa uhai inakuwaje?Utakufa bila kufunga macho wewe
Acha ujinga.walojenga hizo nyumba zinawasaidia nini huko kaburini?wangezikwa kwenye nyumba zao basi?? Tena wengine nyumba zao zilishauzwa tena bei chee tu na watu wakala hela wakapita hivi
Wasio na nyumba utawajua tuHuu Uzi wako ungenoga zaidi baada ya kumaliza Kuwananga na Kuwacheka Wenzako na Wewe hapo chini ungetuwekea idadi ya Nyumba zako unazozimiliki na alizojenga Baba yako Mzazi.
Otherwise unaonekana ni Mswahili, mpenda Majungu, una Chuki Binafsi, mwenye Wivu na Ujuha mwingi Kichwani mwako.
Ni kero kiujumla kwa jamii,usiku ni muda wa kupata utulivu lkn wenzio wamewasha maspika wanacheza na kupiga mayowe[emoji23]
Kwamba baada ya kusoma ukaamua ukaongeze nyumba nyingine au?Nitasoma comments tu
Mwanae yule mkubwa dj tipsMmemsahau Jasiri Muongoza Njia Ruge, mshikaji alikufa akiwa amepanga kwenye apartment ya chumba kimoja na sebule. Msiba ulifanyika kwa baba yake Prof. Mutahaba
Alikuwa anasaidia mademu kujenga yeye hakuwa hata na kiosk
Ilikufa kabla hajafaHuyu si nilisikia alikuwa na investiment ya Bar 120?