Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Mwanaume kujenga ni kitu muhimu ni vile vifaa vya Ujenzi vipo ghari ndio maana watu wanaona ni vitu visivyowezekana ila kwenye Life kitu cha msingi ni kupata sehemu ya kuweka usingizi yenye ubora na usafiri bora pia utakuwa umepunguza zile hasira za haraka haraka...Nyumbani huko kijijini kama uliacha nyumba ya matope nayo kaifanyie ukarabati sasa upo busy unapambana harafu home ulikotoka kupo hovyo huo ni uduanzi wa kiwango cha juu labda usiwe kwenye Channel za Pesa...
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

Itaendelea
Ukifa unatakiwa uache Cash Flow, pesa zinatiririka kwa wanao sio kuacha majumba yasiyoingiza pesa, wataishia kuuza tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumeazimwa na kuna sharti kwenye HATI kwamba rais anaweza kubadili matumizi ya Ardhi yako bila taarifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mwisho wa umiliki ni miaka 99, inamaana wajukuu wetu watakuja kununua kiwanja changu [emoji137][emoji1787]

Ikitokea rais akataka ardhi aliyokupangisha basi unalipwa fidia nzuri tu na hata hiyo miaka 99 ikiisha unaomba ku-renew na kama serikali wanalihitaji eneo watakulipa fidia kulingana na thamani ya wakati huo na wanalipa fedha ndefu tu mkuu.
 
Alafu kuna watu wamejenga nyumba ili mradi nyumba tu, location mbovu mabondeni huko uswahilini. Kwa mtazamo wangu ni vizuri ukifa uache running business ambazo hazitasimamisha cashflow kwa uliowaacha..Dunia ya sasa imebadilika sana. Unaweza kuacha nyumba ambazo ni mzigo tu mwishowe zinaishia kuuzwa.
 
Wahindi mbona hawana nyumba ?

Unabidi kuishi Maisha mazuri Kama wahindi unakaa Apartment huku bank ukiwa na Pesa zako za kutosha na Biashara zilizosimama , so Mimi nampongeza Kanumba kwa kuishi Maisha standard ambayo ndo ndoto za kila Kijana mwenye akili.


Kama unajenga Jenga nyumba Kuanzia mil 500+ na sio huu uchafu mnaojenga watz wa vyumba vitatu au vinne kama sio viwili huku mna watoto kumi
Uzi ufungwe!!!
 
Alafu kuna watu wamejenga nyumba ili mradi nyumba tu, location mbovu mabondeni huko uswahilini. Kwa mtazamo wangu ni vizuri ukifa uache running business ambazo hazitasimamisha cashflow kwa uliowaacha..Dunia ya sasa imebadilika sana. Unaweza kuacha nyumba ambazo ni mzigo tu mwishowe zinaishia kuuzwa.
unajitahidi kutetea ujinga mkuu
 
Nakumbuka kuna kasichana kaliitwa Zinduna kalitoroka kutoka kwao na kuja Dar kumtafuta Sepenga ili aishi Maisha Kama ya spenga,na kalikataa shule,sema mwisho nazani Wazazi wake walikuja kukachukua kwa msaada wa police na kukarudisha kwao!!
Huyu ni hajui nguvu yake, angekuwa mbali sana.
ona Vijana wanageza njia za kichwa maji, afadhari wazazi wake Wamefanya la maana
 
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?


4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi

Itaendelea
Vipi TID?
 
Alafu kuna watu wamejenga nyumba ili mradi nyumba tu, location mbovu mabondeni huko uswahilini. Kwa mtazamo wangu ni vizuri ukifa uache running business ambazo hazitasimamisha cashflow kwa uliowaacha..Dunia ya sasa imebadilika sana. Unaweza kuacha nyumba ambazo ni mzigo tu mwishowe zinaishia kuuzwa.
Wakati huo unaishi kwenye nyumba aliyojenga nani? Imejini wote mnawaza kujenga biznaaa...!!
Unatetea ujinga kwa point zisizoendana na ujinga unaoutetea
 
Back
Top Bottom