Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jiwe gizaniRay acha makasiriko umri km huo sio wa kukaa kwa dingi yako acha ufala[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jiwe gizaniRay acha makasiriko umri km huo sio wa kukaa kwa dingi yako acha ufala[emoji23][emoji23]
Ukifa unatakiwa uache Cash Flow, pesa zinatiririka kwa wanao sio kuacha majumba yasiyoingiza pesa, wataishia kuuza tu1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumeazimwa na kuna sharti kwenye HATI kwamba rais anaweza kubadili matumizi ya Ardhi yako bila taarifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mwisho wa umiliki ni miaka 99, inamaana wajukuu wetu watakuja kununua kiwanja changu [emoji137][emoji1787]
Unajuaje labda uzi unamuhusu yeye hao marehemu wamepachikwa kumkumbusha kuwa kifo kipoMtoe Ray Kigosi kwenye list.... Yeye hahusiki ana nafasi ya kujenga. Au anzisha Uzi mwingine wa watu maarufu wanaopata hela nzuri lakini hawajajenga
Almost wasanii wote wa filamu hoihaye!hapo kwa RAY KIGOSI umenichekesha sana
10. Kama hajajenga atakuwa mzembe mnoo7. McGarab (yupo hai)
8. Semaji la Klabu (yupo hai)
9. McPilipili (yupo hai)
10. Stiv Ake
Uwa ni mateso mke anaumia kwa uchungu atawezaje majukumu makubwa hayo kuongoza familia peke yake kwenye nyumba ya kupanga asee sio poa.Uliwahi kuudhuria msiba wa marehemu aliyeacha mke na watoto kadhaa nyumba ya kupanga ukaona mke anavyogalagala kwa uchungu
Huyu ni kichwa maji, anakera hadi basiYule demu msenge sana....sasa hivi analilia simu eti valentine[emoji848][emoji848]
Demu limechezea hela lile acha acha
Next ni liuwoya, tulipe mda (sema lile haliwezi lost sana ka wema coz kwao wako njema mnoo, ataachiwa urithi mbezi beach [emoji2][emoji1635]
Uzi ufungwe!!!Wahindi mbona hawana nyumba ?
Unabidi kuishi Maisha mazuri Kama wahindi unakaa Apartment huku bank ukiwa na Pesa zako za kutosha na Biashara zilizosimama , so Mimi nampongeza Kanumba kwa kuishi Maisha standard ambayo ndo ndoto za kila Kijana mwenye akili.
Kama unajenga Jenga nyumba Kuanzia mil 500+ na sio huu uchafu mnaojenga watz wa vyumba vitatu au vinne kama sio viwili huku mna watoto kumi
Nilipewaga ushauri na wazee jenga ukiwa kazini za pension sio za ujenzi labda ulipwe 150-200m hukoDuniani tunapita.
Kujenga ni uoga wa maisha.
Tule bata tutajengea pesa za pensheni.
unajitahidi kutetea ujinga mkuuAlafu kuna watu wamejenga nyumba ili mradi nyumba tu, location mbovu mabondeni huko uswahilini. Kwa mtazamo wangu ni vizuri ukifa uache running business ambazo hazitasimamisha cashflow kwa uliowaacha..Dunia ya sasa imebadilika sana. Unaweza kuacha nyumba ambazo ni mzigo tu mwishowe zinaishia kuuzwa.
Huyu ni hajui nguvu yake, angekuwa mbali sana.Nakumbuka kuna kasichana kaliitwa Zinduna kalitoroka kutoka kwao na kuja Dar kumtafuta Sepenga ili aishi Maisha Kama ya spenga,na kalikataa shule,sema mwisho nazani Wazazi wake walikuja kukachukua kwa msaada wa police na kukarudisha kwao!!
Vipi TID?1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
Itaendelea
Wakati huo unaishi kwenye nyumba aliyojenga nani? Imejini wote mnawaza kujenga biznaaa...!!Alafu kuna watu wamejenga nyumba ili mradi nyumba tu, location mbovu mabondeni huko uswahilini. Kwa mtazamo wangu ni vizuri ukifa uache running business ambazo hazitasimamisha cashflow kwa uliowaacha..Dunia ya sasa imebadilika sana. Unaweza kuacha nyumba ambazo ni mzigo tu mwishowe zinaishia kuuzwa.
Hiyo nyumba ya familia sasa??Anae kakaake wanaparuana daily...sema kakaake chapombe, ana vurugu huyo acha
Waite NEMCNa msijenge karibu na makanisa ya kilokole,Ni KERO
Nahisi leo nakesha,jirani kuna kanisa wamefungulia dundo si la kitoto na wanafuatisha kuimba,