Kwanza ni kosa kumlaumu mtu kisa hajajenga.Hapo ni kumlaumu bure.... 28 year mtu hutakiwi kulaumiwa kabisa
Yeah kanumba ndio kwanza alikuwa ameaanza kutoboa maana movie zimeanza kumlipa vizuri pale amefungua kampuni yake ambayo ilikuwa aijafikisha ata miaka mitatu akafariki.Ila tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Usitetee ujinga.. Gavana wa benki hajajenga unamteteaje?Kwanza ni kosa kumlaumu mtu kisa hajajenga.
Kanumba alikuwa mdogo bado
Kuna kajamaa kako humu 2017 kalikuwa FTNA, kamemaliza CSSE 2019 kakafeli, bado kapo kwa wazazi, kanajifanya kashauri.
Watanzania wengi wanasema wanajenga ila ni vichekesho
Uliwahi kuudhuria msiba wa marehemu aliyeacha mke na watoto kadhaa nyumba ya kupanga ukaona mke anavyogalagala kwa uchungu
Duh mkuu umesema waliokufa,Ray mtoe kwenye list kujenga ni maamuzi tu usishangae leo akawa na nyumba
Hizo nyumba zanyewe sasa pia ni vichekesho.... tukisema tuziwekee grade nyumba za watanzania wengi.... tutajikuta wengi wana nyumba zenye hadhi ya vibanda. Zero qualityKwanza ni kosa kumlaumu mtu kisa hajajenga.
Kanumba alikuwa mdogo bado
Kuna kajamaa kako humu 2017 kalikuwa FTNA, kamemaliza CSSE 2019 kakafeli, bado kapo kwa wazazi, kanajifanya kashauri.
Watanzania wengi wanasema wanajenga ila ni vichekesho
Hizo nyumba zanyewe sasa pia ni vichekesho.... tukisema tuziwekee grade nyumba za watanzania wengi.... tutajikuta wengi wana nyumba zenye hadhi ya vibanda. Zero quality
[emoji23][emoji23][emoji23]UNAJENGA NYUMBA TETEMEKO LIKIPITA IKAANGUKA? KULA BIA WEWE
Sexless usiwe brainless piaKwani pesa pekee haiwezi kuweka future nzuri ya watoto. Au mm ndiyo sielewi maana ya future!
Alishindwa hata kupiga lipu nyumbani kwao,angeweza hizo barHuyu si nilisikia alikuwa na investiment ya Bar 120?
Mbona heading umeandika kwamba "Waliokufa" halafu nashangaa huku chini umechanganya na ambao hawajafa ?
Au unamaanisha wanakaribia kufa muda sio mrefu?
Vyeo vya jeshi kipindi hicho vilikosa heshima, Brigedia anashindwa kujenga nyumba, kipindi hicho viwanja goba, na Makongo wanapima kwa kurusha jiwe, linapotua ndio mpaka,Kumkera Nape tu atufungie[emoji1787]
7. McGarab (yupo hai)
8. Semaji la Klabu (yupo hai)
9. McPilipili (yupo hai)
10. Stiv Ake
Kujenga ni muhimu, tutumie haki yetu ya kikatiba ya kumiliki ardhi na kuitumia ardhi pia ikiwemo kujenga.Sawa Tunalo La Kujifunza Hata Kama Hatutaki Hii Thread
Sasa nimeshakata moto inanihusu nini?Siku ukikata moto mkeo atagalagala sana na kuzimia akiwaza kodi