Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Hapo ni kumlaumu bure.... 28 year mtu hutakiwi kulaumiwa kabisa
Kwanza ni kosa kumlaumu mtu kisa hajajenga.

Kanumba alikuwa mdogo bado

Kuna kajamaa kako humu 2017 kalikuwa FTNA, kamemaliza CSSE 2019 kakafeli, bado kapo kwa wazazi, kanajifanya kashauri.

Watanzania wengi wanasema wanajenga ila ni vichekesho
 
Ila tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
Yeah kanumba ndio kwanza alikuwa ameaanza kutoboa maana movie zimeanza kumlipa vizuri pale amefungua kampuni yake ambayo ilikuwa aijafikisha ata miaka mitatu akafariki.
 
Kwanza ni kosa kumlaumu mtu kisa hajajenga.

Kanumba alikuwa mdogo bado

Kuna kajamaa kako humu 2017 kalikuwa FTNA, kamemaliza CSSE 2019 kakafeli, bado kapo kwa wazazi, kanajifanya kashauri.

Watanzania wengi wanasema wanajenga ila ni vichekesho
Hizo nyumba zanyewe sasa pia ni vichekesho.... tukisema tuziwekee grade nyumba za watanzania wengi.... tutajikuta wengi wana nyumba zenye hadhi ya vibanda. Zero quality
 
Back
Top Bottom