Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Unauhakika kuwa Boss Ruge Hakujenga ama Unajilimbwasa tu...!? Acha kukariri licha ya kuwa na mijengo mikali Dar, Mwanza, Arusha na Bukoba Boss Ruge alikuwa anamiliki Mashamba makubwa saana kule Morogoro, Mbeya na Iringa..... Ruge akili kubwa kuliko unavyofikiria wewe
 
Mkuu acha kupotosha toka hapo clouds fm
 
Aaah,kumbe hujajenga game change?ndo uanze kujenga sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…