Unauhakika kuwa Boss Ruge Hakujenga ama Unajilimbwasa tu...!? Acha kukariri licha ya kuwa na mijengo mikali Dar, Mwanza, Arusha na Bukoba Boss Ruge alikuwa anamiliki Mashamba makubwa saana kule Morogoro, Mbeya na Iringa..... Ruge akili kubwa kuliko unavyofikiria wewe
YeahWaliotajwa wote kwenye huu uzi walikuwa na wengine bado wana cash flow/income nzuri tu inayowawezesha kufanya haya tuyasemayo..!!
Hakika mkuuWahindi wana discipline sana ya maisha tofauti na sisi weusi,sisi huku usipowaachia mji watoto mwaka mmoja tu wanakuwa chokoraa
tena sawa na kujenga barabarani wakati dunia tunapita tu!Unajenga ili iweje?
si ndo mwanzo wa kuwaziba wenzio wasiende mbinguni?Dunia tunapita makazi yetu yapo kwa Baba mbinguni....unajengaje njiani mkuu
Dah! hivi kumbe kanumba akuwa na mtotoBora Kanumba hakuwa na mke wala mtoto, kuacha familia nyumba ya kupanga unafanya msiba uwe mzito
KAMA VIPI KUANDIKA WILL TU!!!!!!!!!!!unajenga alafu unakufa unaiacha then ndugu wanakuja kugombania urithi aisee. Acha tuendelee kupanga kwa mamilioni.
Mgongo wa tembo,, 🤷🏼♂️Nyumba ya lemutuz ikoje?
Kigamboni itakuaIko wapi hii? Au downtown [emoji1787][emoji1787]
Hii habari niliisikia 1990,kumbe imeenea..!!Prof Shaba walitaka kumfanyia hivyo akawaambia kesho naitisha press nielezee matundu ya risasi kwenye mwili wa Sokoine wakasalim amri
Title na maelezo yako haviendani. Kigosi ameingiaje kwenye orodha wakati bado yuko hai? Au una wivu na mafanikio yake?1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk
4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.
Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi
7.
Itaendelea
Yeye akishakata moto haimuhusu tena ...kimbembe ni nyie ndugu zake, mtajua hamjui na walimwengu[emoji848]Yeah hii kafanya uncle wangu pia kigogo mkubwa anacheo kikubwa sana jeshini lakini kwao kijijini hata choo shida sijui watao mleta siku amekata moto watajisaidi wapi [emoji51]
Hakuna cha priority bana ...nyumba muhimu sana[emoji26]Kama haikuwa priority yake je?
Sasa yy mwenyewe alitamka Hana, nyie mnaforce?Muulize mmiliki wa escape one pale mikocheni ni nani ?
Ruge awajengee mpaka madem zake.. halafu yeye awe hana kitu kweli
Haya ni maneno ya mkosaji wallah[emoji1745]tena sawa na kujenga barabarani wakati dunia tunapita tu!
Anaye, katupwa kule...wahaya nyoko sana na mambo ya urithi plus tamaaDah! hivi kumbe kanumba akuwa na mtoto
Kupaki gari kwenye nyumba aliyojenga mwanaume mwingine ni utovu wa nidhamu
Nilibahatika kunywa bia nara kadhaa pale canteen ya IFM miaka ya 2000 na huyu prof,kwa kweli kichwani zilikuwa nyingi mpaka zonamwagika,kuna fuse zilianza kukatika ,sema amelifanyia mengi makubwa taifa hiliHii habari niliisikia 1990,kumbe imeenea..!!