Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba


Muulize mmiliki wa escape one pale mikocheni ni nani ?

Ruge awajengee mpaka madem zake.. halafu yeye awe hana kitu kweli
 
Title na maelezo yako haviendani. Kigosi ameingiaje kwenye orodha wakati bado yuko hai? Au una wivu na mafanikio yake?
 
Hii habari niliisikia 1990,kumbe imeenea..!!
Nilibahatika kunywa bia nara kadhaa pale canteen ya IFM miaka ya 2000 na huyu prof,kwa kweli kichwani zilikuwa nyingi mpaka zonamwagika,kuna fuse zilianza kukatika ,sema amelifanyia mengi makubwa taifa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…