RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Choo tutatumia cha barAlphard ni nyumba inayotembea kasoro choo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Choo tutatumia cha barAlphard ni nyumba inayotembea kasoro choo
Ajali kazini
Ebu eleza vizuri samahani lakini mimi ni shabiki yake sijui kama aliacha mtoto ebu fafanua samahani!Anaye, katupwa kule...wahaya nyoko sana na mambo ya urithi plus tamaa
Alikuwa Usalama auNilibahatika kunywa bia nara kadhaa pale canteen ya IFM miaka ya 2000 na huyu prof,kwa kweli kichwani zilikuwa nyingi mpaka zonamwagika,kuna fuse zilianza kukatika ,sema amelifanyia mengi makubwa taifa hili
Mlinzi wa kampuni ganiDuuuhhh
Kweli hii nchi hatari.
Uchawi wa wazi kabisa
Kama Mimi mlinzi tu nimejenga nyumba ya around 20 milioni hawa wakubwa wanakwama wapi?
Kwahiyo ukisikia mlinzi wazo linalokujia ni kampuni?Mlinzi wa kampuni gani
Hakuna baba mwenye gari, kuna baba mwenye nyumbaUnajenga ili iweje?
Huyu anamiliki nyuzi zisizopungua 1000+ hapa JF, nyumba unamuoneaKuna huyu member mwenzetu anaitwa GENTAMYCIME na yeye umemsahau kwenye list yako[emoji3]
Halina ubishi hilo,usiwasahau na wahaya,wamejenga migombani mjini kumepaukaaKwa jambo hili niwapongeze sana wachaga wao kipaumbele Huwa ni nyumba,mchaga akifanikiwa chá kwanza atajenga Kijijini kwake,kisha maeneo mengine,nyumba ni heshima kwa mwanadamu
Unauliza tena haya hapo GARDA Kuna habari ganiKwahiyo ukisikia mlinzi wazo linalokujia ni kampuni?
ray kakaa kwa mama yake miezi miwili tu munalalamika je yesu anayeishi kwa baba yake huu mwaka wa 2023 mbona hammuongelei.1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk
4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.
Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi
7.
Itaendelea
Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hiviNyerere kuna nyumba yake iko magomeni imegeuzwa makumbusho nyimba kali sana alijenga kabla ya uhuru
Licking...Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi
InawezekanaLicking...
Siku ya ufunguzi wa nyumba ya Mwalimu mimi nilialikwa.
Sababu ya kualikwa ni kuwa nilitoa picha za Mwalimu kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba ile.
Katika ufunguzi walikuwapo Mzee Warioba na Butiku na watu wengine mashuhuri akiwapo Mzee Songambele.
Makongoro Nyerere alizungumza vipi baba yake alijenga nyumba ile.
Makongoro alisema kuwa baba yake alinunua kiwanja kile kwa fedha zake mwenyewe lakini katika ujenzi wa ile nyumba alipata msaada wa John Rupia na akina Sykes.
Mimi hili sikulijua.
Ilikuwa ndiyo mara yangu ya kwanza kusikia historia hii.
Sawa sawa mzee! Asante kwa ufafanuzi Mohamed SaidLicking...
Siku ya ufunguzi wa nyumba ya Mwalimu mimi nilialikwa.
Sababu ya kualikwa ni kuwa nilitoa picha za Mwalimu kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba ile.
Katika ufunguzi walikuwapo Mzee Warioba na Butiku na watu wengine mashuhuri akiwapo Mzee Songambele.
Makongoro Nyerere alizungumza vipi baba yake alijenga nyumba ile.
Makongoro alisema kuwa baba yake alinunua kiwanja kile kwa fedha zake mwenyewe lakini katika ujenzi wa ile nyumba alipata msaada wa John Rupia na akina Sykes.
Mimi hili sikulijua.
Ilikuwa ndiyo mara yangu ya kwanza kusikia historia hii.