Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Maisha si lele mama... kujitambua mapema na kukaza kizazi chako kisije kudhalilika ndo mpango. Otherwise watoto na wajukuu wataishi kukutupia lawama tu na wakati wewe ushakufa zako lakini hawatakosea bali watakuwa sahihi kwa asilimia zote ingawa na wao wakikomaa wanaweza kubadilisha hali....,Wa kwanza sharti awatengenezee njia wanaokuja ili waendeleze... MAISHA SIO LELE MAMA!
 
1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk


4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.

Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi

7.

Itaendelea
ray kakaa kwa mama yake miezi miwili tu munalalamika je yesu anayeishi kwa baba yake huu mwaka wa 2023 mbona hammuongelei.
 
Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi
Licking...
Siku ya ufunguzi wa nyumba ya Mwalimu mimi nilialikwa.

Sababu ya kualikwa ni kuwa nilitoa picha za Mwalimu kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba ile.

Katika ufunguzi walikuwapo Mzee Warioba na Butiku na watu wengine mashuhuri akiwapo Mzee Songambele.

Makongoro Nyerere alizungumza vipi baba yake alijenga nyumba ile.

Makongoro alisema kuwa baba yake alinunua kiwanja kile kwa fedha zake mwenyewe lakini katika ujenzi wa ile nyumba alipata msaada wa John Rupia na akina Sykes.

Mimi hili sikulijua.
Ilikuwa ndiyo mara yangu ya kwanza kusikia historia hii.

71186891_536050657142317_7073653305053806592_n.jpg

Nilipotembelewa na maofisa wa Nyumba ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bi. Gilago Victoria na Bi. Nathalia Joseph nikiwaonyesha picha za Nyerere katika Maktaba yangu 2019.​
 
Licking...
Siku ya ufunguzi wa nyumba ya Mwalimu mimi nilialikwa.

Sababu ya kualikwa ni kuwa nilitoa picha za Mwalimu kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba ile.

Katika ufunguzi walikuwapo Mzee Warioba na Butiku na watu wengine mashuhuri akiwapo Mzee Songambele.

Makongoro Nyerere alizungumza vipi baba yake alijenga nyumba ile.

Makongoro alisema kuwa baba yake alinunua kiwanja kile kwa fedha zake mwenyewe lakini katika ujenzi wa ile nyumba alipata msaada wa John Rupia na akina Sykes.

Mimi hili sikulijua.

Ilikuwa ndiyo mara yangu ya kwanza kusikia historia hii.
Inawezekana
 
Licking...
Siku ya ufunguzi wa nyumba ya Mwalimu mimi nilialikwa.

Sababu ya kualikwa ni kuwa nilitoa picha za Mwalimu kwa ajili ya kuwekwa kwenye nyumba ile.

Katika ufunguzi walikuwapo Mzee Warioba na Butiku na watu wengine mashuhuri akiwapo Mzee Songambele.

Makongoro Nyerere alizungumza vipi baba yake alijenga nyumba ile.

Makongoro alisema kuwa baba yake alinunua kiwanja kile kwa fedha zake mwenyewe lakini katika ujenzi wa ile nyumba alipata msaada wa John Rupia na akina Sykes.

Mimi hili sikulijua.

Ilikuwa ndiyo mara yangu ya kwanza kusikia historia hii.
Sawa sawa mzee! Asante kwa ufafanuzi Mohamed Said
 
Back
Top Bottom