Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Sawa sawa mzee! Asante kwa ufafanuzi Mohamed Said
Licking...
''Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi.''

Bahati mbaya sana.

Hapakuwa na haja ya kunikejeli mimi na wazee wangu chembelecho, ''Muislam mmoja.''

Wazee wangu waliishi na Nyerere kama ndugu.

Mwalimu Nyerere kadi yake ya TANU ni No. 1.
Kadi ya TANU ya Ally Sykes ni No. 2 na ndiye aliyemwandikia Nyerere kadi yake.

Kadi ya TANU ya Abdul Sykes ni No. 3.
Kadi ya TANU ya John Rupia ni No. 7.

(Ingawa Abbas Sykes anasema kadi No. 7 ni yake).
 
Licking...
''Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi.''

Bahati mbaya sana.

Hapakuwa na haja ya kunikejeli mimi na wazee wangu chembelecho, ''Muislam mmoja.''

Wazee wangu waliishi na Nyerere kama ndugu.

Mwalimu Nyerere kadi yake ya TANU ni No. 1.
Kadi ya TANU ya Ally Sykes ni No. 2 na ndiye aliyemwandikia Nyerere kadi yake.

Kadi ya TANU ya Abdul Sykes ni No. 3.
Kadi ya TANU ya John Rupia ni No. 7.

(Ingawa Abbas Sykes anasema kadi No. 7 ni yake).
Wala sikuwa namaanisha kejeli kwasababu mara nyingi huwa nasoma mabandiko yako humu kuhusu historia ya Nyerere na wazee wa kiislam waliomsaidia! Sikuwahi kuwaza kama Nyerere aliweza kujenga nyumba ile kwa miaka ile tena Magomeni!
Tuko pamoja mzee
Mohamed Said
 
Wala sikuwa namaanisha kejeli kwasababu mara nyingi huwa nasoma mabandiko yako humu kuhusu historia ya Nyerere na wazee wa kiislam waliomsaidia! Sikuwahi kuwaza kama Nyerere aliweza kujenga nyumba ile kwa miaka ile tena Magomeni!
Tuko pamoja mzee
Mohamed Said
Licking...
Baada ya kuacha kazi ya ualimu Nyerere alikwenda kukaa nyumbani kwa Abdul Sykes.

1678510089972.jpeg

Nyumba ya Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuu ambayo Nyerere aliishi 1955.
Nyumba hii wakati ule haikuwa hivi hii ni picha ya 1980s baada ya kufanyiiwa ukarabati kugeuzwa duka.
Katika miaka ya mwanzoni 2000 nyumba hii ikavunjwa ikajengwa nyumba hiyo hapo chini:

1678510335292.jpeg


Mwalimu Nyerere alipohama kwa Abdul Sykes akahamia Maduka Sita nyumba aliyotafutiwa na TANU:

1678510543405.png

Nyerere akiingia nyumbanin kwake Maduka Sita Magomeni 1955
Daily News 15 November, 2021 ilichapa picha ya nyumba ya Nyerere ya Magomeni aliyojenga 1958 na kusema kuwa mikutano yote ya siri ilikuwa ikifanyika hapo.

Si kweli.
Mikutano yote ya siri kuhusu harakati za kuunda TANU ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes hata kabla Nyerere hajafika Dar es Salaam.

248013996_1063864421027602_264550578010923725_n.jpg



 
1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali


2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.


3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk


4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.

Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.


5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk

6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi

7.

Itaendelea
7.....Le Mutuz
 
What if alikuwa na uwezo wa kulipia apartment rent hadi anakufa..na ana businesses zake za kumuingizia kipato bila matatizo. Kuna watu nawafahamu Bongo hii hawana nyumba za kuishi ila wanamiliki hadi Viwanda na kuna wengine wana nyumba ila hawazitumii ni strictly for business. Wengi msichokielewa ni kwamba suala la kujenga na kumiliki nyumba sio lazima sanaa kama mlivyokariri chenye ulazima ni mtu kuwa na kipato wakati wote wa maisha yako. Dunia ya leo mambo yamebadilika mnoo.
Jenga nyumba wewe acha porojo,yaani uwe na miradi yote hiyo alafu ushundwe nyumba ya 30 kijijini kwenu,basi utakuwa hujitambui
 
Back
Top Bottom