Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Duuuh ray kigosi kama limoki tu daaaah hii dunia hii ni fumbo dogo sana
 
Duniani ni kama stendi tu
Unajenga stendi ili iweje wakati tunapita tu
Haya maneno ya kimasikini ni ya kutupilia mbali maana ukiyafuatwa utakuwa kama ngombe tu kutwa kutafuta hela ya kula tu na si future ya watoto kuiangalia

Daaaah yanipitiee mbali kabisa hii misemo hii [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Mbona heading umeandika kwamba "Waliokufa" halafu nashangaa huku chini umechanganya na ambao hawajafa ?
Au unamaanisha wanakaribia kufa muda sio mrefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…