Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

TiD Top in Dar,mwanamuziki maarufu sliyegima kuhana jwao kinondoni,alishasema kazaliwa pale so pale ni kwake na ni kwao pia,kila mtu arudi kwao,ikaonekana wazazi wake ndio wanastahi kuondka pale sio yeye,japo hajachangia hata bati moja
Hatari sana
 
Kijana wake amejifunza nini kwenye hili au ndo kupiga magitaa kama mandojo na Domokaya?
 
8. Wema Sepetu - toka aanze kudanga miaka karibia 30 iloyopita mpaka sasa hajajenga nyumba, anaishi kimagumashi tu hapa mjini akitunzwa na wanaume waliochoka

9. Kajala - Huyu bibi sijuwi niseme nini juu yake, kiufupi, hana nyumba na wala hatarajii kujenga kwani ni mdangaji tu, akiachwa anapokonywa nyumba na gari anahamia Guest au kwa ndugu zake mpaka hapo atakapopata mwanamme mwingine asiye na akili timamu amtunze na kumuweka mjini

10. Aunty Ezekiel - Kikongwe huyu naye hana nyumba, yupo anachezea masharobaro tu hapa mjini, yeye anaona fahari kuvuliwa vichupi na vitoto vidogo

11. Steve Nyerere - Pashikuna hili la kiume lipo lipo tu, halina akili za kiume hata kidogo. Yeye marafiki zake wakubwa ni mademu haswa wake za watu wanaojiuza, anawatafutia tenda kwa viongozi huku yeye akıla 10%, halina nyumba wala nini, yeye kazi yake kudanga tu na kutafuta umbea saloon, mitaani na misibani huku akirekodi watu bila wao kujijua - Mama Wema Sepetu analijuwa hili kipindi anajiuza kwa Steve Nyerere..
 
Ebwanae
 
kujenga ni kibali si swala rahisi kama watu wanavyofikiria.
Lakini vyovyote vile tunahitaji kushukuru MUNGU kwa maisha tunayoishi,
kama wote wangejenga nani angepanga?
mzunguko wa fedha ungeathilika kwa kiasi gani kwakuwa kupitia kodi za nyumba watu wanamudu maisha ya kila siku hata kama anakaa kwao halipi kodi lakini ipo namna matumizi ya hiyo kodi inawanufaisha wengine.
 
Fafanua hapo Kwa professor alikuwa anawatishia kuwa kifo Cha sokoine ni Cha kupangwa au Nini?
 
Sasa hao wamekufa?
 
Wema mbona nasikia ana nyumba Mbagala huko na Steve ana nyumba Mbezi beach au Goba kama sijakosea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…